Mara naamka si nikakuta WhatsApp wamenisogezea huduma ya kupiga simu, aisee raha kweli kama hujaipata basi update hiyo App usahau Vifurushi vya mitandao yote.
Nina desktop yangu HP inatumia window vista mwanzoni ilikua inapga kazi fresh tu,ila saiv nikiwasha inaishndwa kuwaka kwa maana ya kwamba inashindwa kustart window,tatizo inaweza kuwa nin na...
Note 2 yangu, haifungui code mbalimbali za mitandao ya kijamii. Kwa mfano, ninatumia laini ya tiGO lakini nikitaka kununua vifurushi(nikibofya *148*00#) haifungui. Inakubali code hizi zifuatazo...
Habari zenu wakuu
Wakati ule wa analog ilikuwa kama huna hela ya kununua antena,waweza tumia hata tubelight mbovu,rim ya baiskeli,sinia la alumminium na ukaweza kutizama chanels mbalimbali...
Wakuu mwenye ufahamu ktk hili tafadhali msaada wako unahitajika nimejaribu mara kadhaa kuchakachua Poweramp music player but inazingua mwenye key unlocker zake tafadhali, hii trial imenichosha...
Ninatumia king'amuzi ca Star times but juzi nimechukua na cha Azam pia.
Lakini sioni channel yoyote, zaidi inaandika Smart Card never paired. How to fix this??
habaria za mda huu wakuu...linaweza likawa la ajabu la kushangaza ila nilikuwa napenda kufaham ivi unaweza kudownloada apps kwnye computer den kuitransfer kwnye sim na kuitumia mfano unataka...
salaam wakuu,
hii app sijui ni kwanini imegoma kurun kabisa kwenye simu yangu, nikajaribu kufanya installation kwenye simu ya rafiki yangu still ikakataa. Kwa sasa inabidi nitumie native browser...
FB wanafanyia majaribio app ambayo itakuwa inaonyesha ni nani anakupigia hata kama namba hauijui na pia itakuwa inablock namba ambazo zimezuiwa kwa wingi na watu wengine. FB pia inamiliki...
Wadau naombeni msaada kidogo hapa, nmechukua huawei ascend y530 mpya dukan lkn nkitumia line ya airtel inafanya kazi vizuri internet na vingine lkn inakataa watsapp haifungui.
Msaada pliz
Tunatengeneza kila aina ya computer kama imeharibika kitu yeyote ile tunakupa ushaur na kutengeneza kwa bei cheee sana kama ushakata tamaaa na computer yako basi tutafute whatsapp kwa namba...
hii saa ni maarufu sana na imekuwa sokoni takribani miaka 20 . na imekuwa ikisadikika kutumiwa na magaidi katika kutega mabomu.
pia inasadikika kuwa wanaovaa saa hii huenda ni magaidi.
check...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.