Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habar zenu wna Jamii.. Naomba nisaidiwe kuyatambua makampuni mazuri (in terms of proffesionalism) ya networking yanayofunga(installation,configuration and support ) hapa bongo...
0 Reactions
0 Replies
781 Views
jana nime I update lakini niki play Music haitoi sauti cjajua tatzo lake n nn,naomba msaada plz wanajukwaa Asanteni
0 Reactions
0 Replies
580 Views
Wadau nina 140,000/=.mnanishauri nichukue smartphone ya aina gani kutokana na hicho kiasi
0 Reactions
6 Replies
1K Views
MTANDAO WA #WWW .TUBIDY.COM hapa utadawnload audio video muvi bongofleva taarab kila ki2 knachopatkana youtube unadawnload pale bla tatzo
0 Reactions
1 Replies
6K Views
polen na majukumu wadau wa jukwaa,kwanza naomba samahan sana wanajamamvi hili.naomba msaada wenu kwa yeyote anaefahamu.jinsi yakuondoa write protect mode kwenye flashi samahan sana naomba kwa...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Heri ya Pasaka Wakuu. Nimeinstall Windows 7 Ultimate kwenye laptop lakini Fn+F2/F3 hazifanyi kazi. Kipindi nainunua ilikuwa na Win 7 na hizo keys zilikuwa zinafanya kazi vizuri. Naombeni msaada...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Msaada ndugu zangu..kwa nn nikiingiza App kwenye google inasema application not installed na kujiweka x ila inajiweka kwenye download
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Msaada wakuu nimeuziwa iphone ina icloud nitawezaje kuifungua? Natanguliza shukrani
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wadau wa jf hasa jukwaa hili. Jaman nina decoder yangu ya dstv, imekufa baada ya radi kubwa kupiga, imekataa kufanya kazi upande wa HDMI, hvo nkitaka pata picha mpaka nitumie AV, na...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Habarin wana jukwaa? Naomben msaada ambae anazifaham vizuri Samsung hasa note 2. Nina simu aina ya Samsung galaxy note 2 inasumbua katika upande wa network, imekuwa inakata network kwa mda, na...
0 Reactions
1 Replies
791 Views
jamani kwa wale wanao ishi iringa mjini wapi naweza nikapata wireless joysticks (game pads) for PC
0 Reactions
1 Replies
493 Views
Naomba kuelekezwa ilipo ofisi ya Lea Associates South Asia pvt limited (civil engineering consultant company) kwa dar es salaam. Ahsanteni.
0 Reactions
0 Replies
555 Views
simu yangu inatatizo la kuzimika kila nikiiningia internet, natumi techno t343 kwa anayefahamu mambo ya simu tatizo linaweza kuwa nini?
0 Reactions
5 Replies
801 Views
Wadau nina mwezi wa tatu sasa napata channel ya TBC1 lakini haina sauti hata kidogo, nimejaribu lakini nimeshindwa cha kufanya mpaka sasa sipati huduma yyte ya TBC1 isipokuwa TBC2 najipanga...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habar wana jukwaa naomba kufahamishwa ni site gani ninayoweza kupata free tutorial video za kujifunza computer from begining nina shauku ya kufahamu teknolojia.natanguliza shukran.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Element 3D ndio plugin pekee duniani inayokuwezesha kuanimate, composite na kudesign real 3D stuff kv: 3D city/environment, 3D models na kufanya Live scene 3D integration ndani ya Adobe After...
0 Reactions
2 Replies
851 Views
wadau, smart phone yangu ina tatizo moja, kila nitakapo kudownloadd app au ku update apps zilizopo inaniandikia kuna insufficient space, ila naona space bado ipo, nimejaribu hata kufuta baadhi ya...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Ninataka kubadili aina ya simu kutoka huawei y530 na kuchukua tecno m7,wadau mnanishauri nini kuhusu uamuzi wangu huo.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
nilikua naomba mnijuze nikitaka kurepost,au picha nimeipenda nataka kuichukua(download,), natakiwa nifanye nini, cc all
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Baadhi yetu huwa tunatumia haya maneno bila kufahamu tofauti yake au wakati upi neno litumike. Kwa anayejua naomba atupe tofauti ya hayo maneno.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom