Wapendwa wangu..kuna Apps nyingi za kudownload video's Instagram..Natumia Android Phone..kuna Apps mbali mbali zilizopo Playstore
Nahitaji msaada kutoka kwenu wataalam wa Jukwaa...
AnTuTu Report: Best Android Smartphones 2014
Posted: 2015-01-12 , by AnTuTu
2014 is a great year for mobile device industry. Numerous flagships of big brands and also some black horses run into...
Vuta pumzi alafu fikiria, kichwa cha mtu mmoja mzima aliyehai mwenye tatizo na mwili wake wa chini kwa sababu mbalimbali iwe ni ugonjwa kama kansa au ulemavu wa kupooza kikatwe na kuhamishiwa...
Washusha mizigo tumeingia kwenye mtihani mkubwa baada ya Kickass kuendelea kuandamwa kila kukicha kuhusu suala zima la copyright infringement! Mkombozi wetu huyu anabanwa kila kona kiasi kwamba...
Hi there! I left my hp min laptop for 2years secured with my common password to other electrical gadgets. I recently sussed my passord doesnt work anymore in this min-laptop.
Please is there any...
ni siku ya tatu sasa nashindwa kufanya usajili kutokana na ubovu wa mawasiliano kati yangu na watu wa huduma kwa wateja kupitia 0764700800.naomba mwenye kujua mbinu mbadala ya kuwapata anijuze...
Habari zenu wana jf mimi nina Huawei 530 ambazo huuzwa na tigo.Nataka kujua kama ninaweza kuiflash ikawa inatumia line zote pia napenda kufundishwa jinsi ya kuflash sim kwa kutumia computer...
Why am I seeing the message "Your number is no longer allowed to use our service"?If you are unable to use WhatsApp and you are receiving the following message: Your number ... is no longer...
Hello,
kwa yeyote alienaproduct tajwa hapo juu au mwenye Connection ya hii kitu naoma ani-PM.
Hata kama upo mbele naoma tucheckiane, naitafuta hii mambo.
Regards,
Chief
Habari wakuu, kwanza poleni na majukumu. Wanateknolojia naomba maelezo ya kina kuhusu RAM, ROM, CPU,MEMORY, mana nachojua ni RAM is used to store data and program instructions. sijui inafanyaje...
Habari zenu wakuu..Nina shida tatu ambazo kila nikiingia net lazima Pc yangu iniletee hizi mambo ingawa sizipendi hata kidogo hivyo naomba mwenye sokution anisaidie..Tafadhali,tumia lugha nyepesi...
Wanajukwaa!
Sio siri kuwa website ina nuru kubwa na taswira pana sana ya tech! Na kuzingatia hili ndo maana nikaleta special thread hii kwa ajili ya kujadili, ku share na kushauriana kuhusu haya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.