Habari!
Nina samsung galaxy tab 10.1 inashindwa kusoma line ya simu na ukiangalia kwenye settings hakuna option ya mobile network. Nimejaribu kuireset lakin tatizo bado liko vilevile.. naomba...
Microsoft's annual Build conference in San Francisco has, in recent years, become the place for product announcements, but there have been few surprises -- until now. Today's three-and-half-hour...
wataalam nimenunua strong receiver srt 4922A,sasa nataka kupata channels za mpira katika eutelsat 7e kupitia channel za aljazeera au irib katika arabsat 5A @ 20'E,nifanyeje wakuu
kiujumla wengi wetu tunatumia Android phone ingawa c 100% ila wengi wao wapo na android phones..
Hivyo nimeona ni bora kuanzisha hii mada ili kila mwenye tatizo la android phone aweze post na...
Hello Bandugu,
Week moja iliyopita nilitoa Tangazo la Kutafuta MacBook Pro, lakini ni mtu mmoja tu alienitafuta na bei yake ilionekana kuwa kubwa sana. Hivyo nimebadili sasa nataka Acer Aspire...
Wana jf ,habarini za asubuhi,Jana walinipitia vibaka wakanikwapua simu mbili,ikiwemo ipad moja ambayo ni android,mwenye utaalamu wa namna ya kuitress tafadhali
Jus post your IMEI and i'll post you the UNLOCK CODE right here or through PM if you prefer. How to go about after th@? Insert any other SIM in your modem and it will ask for a unlock code and you...
Naomba mssada jinsi ya kudelete hili file \Program Files\Cyti Web\bin\09c3ffd6f1a34fde86e1d448e8559c21.dll;
Kila nikidelete lina kataa ni scan linakuwa detected na disinfection inafail naomba...
Nimerudi tena tangu wiki iliyopita niliomba msaada lakini naona mmenichunia hakuna hata mmoja aliye nisaidia tofauti na wengine wakiomba msaada wanasaidiwa
Narudi naomba nisaidieni ni wiki moja...
Habari ndugu wana jf baada ya kujipanga kwa muda mrefu hatimaye nimefanikiwa kununua laptop kutokana na ukosefu wa umeme nataka kununua betri ya gari na inverter halafu natumia kama source of...
Kwa Hii error ya IDM nahisi wame fix uchakachuzi wa aina yoyote nime download all latest crack files za torrent lakini bila bila
Nimefuta previous keys kwenye Registry lakini bado bila bila,mwenye...
Habari ya wadau kama kawa katika pekupeku zangu nikakutana na hii launcher.
Kwa kweli nimeipenda kwa kiasi chake kwani ka-Huawei Y300 kangu kanazidi kua katam zaidi ya mcharo ....
Launcher...
Nina simu yangu aina ya iphone 4, inakamata mtandao nikiwa sehemu zenye mnala wa lain husika... Naomba msaada kama kuna mtu anajua tatizo laweza kuwa ni nn... 😿🙏🙏
Au kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.