Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari zenu wakuu! Kwa wale wenye matatizo kwenye pump na nozel kwenye magar yao fundi anapatikana hapa tabata dampo kwa mawasiliano ya simu 0767347917 anakufuata ulipo. Wote mnakaribishwa
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Flash disk(8 GB) yangu imeingiwa na " Skypee" worm. Naomba msaada wa jinsi ya kuiondoa.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimedownload fifa 14 ila inakataa kuplay inaitaji origin code, ila naskia kuna setting za kufungua bila izo code. Msaada kwenye hilo.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wapendwa JF. simu yangu Tecno P3 imeji-lock. Inanitaka niingize e-mail address yangu. nimejaribu mara kadha kuifungua imekataa. Imejiweka kwenye flight mode. Kabla haijajifunga, nilikuwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wana jf,ninataka kununua simu ambayo inasuport whatsap na instagram,sasa kuna jamaa kaniambia ninunue sim kati ya hizo mbili,je ni kweli zinasuppurt huduma hizo?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nina iPad 3.ilikuwa inafanya kazi vizuri kabisa.imezima ghafla na haitaki kuwaka!! Wataalam msaada wenu unaitajika.nawasilisha
0 Reactions
3 Replies
770 Views
Wadau naombeni ushauri wenu. Nina mpango wa kutafuta kacamera kadogo lakini sijajua ni aina gani nzuri na vingine vingi vinavyohusu camera. Ningeomba kwa wale wenye ujuzi na chombo hiki wanishauri...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Wanajamvi tv yangu ya hitach kichogo inazingua rangi mara inakuwa normal mda mwingine inajibadili kuwa ya urujuani au kwa lugha nyingine zambarau picha hazionekani vizuri. Sijui tatzo ni nini...
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Msaada naomba mwenye link ya jamii forum itakayo niwezesha kuidownload aniwekee hapa kwenye thread. Sihitaji kupitia kwenye google play store kwakuwa nimejaribu mara nyingi imeshindikana,naomba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari wakuu natafuta fundi mzuri wa laptop awe anapatikana mbeya.laptop yangu inahitilafu kidogo..0765480855
0 Reactions
0 Replies
696 Views
Kila siku inavyozidi ndio Mtandao unazidi kuwa mkubwa zaidi , ndio tovuti zinazidi kuongezeka na maudhui kwenye mtandao yanazidi kuongezeka na programu za kuendesha maudhui na masuala mengine...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
NASA/JPL-Caltech/MSSS Scientist Sees Possible Signs Of Ancient Life On Mars In Rover Photos Jacqueline Howard The Huffington Post Posted: 01/08/15 08:36 AM ET Updated: 22 minutes ago Evidence...
0 Reactions
0 Replies
675 Views
Each new year brings new opportunities to quit vices like smoking and binge drinking and to cut back on indulgences like excessive carb intake, online shopping sprees, and food deliveries. Begin a...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Model Market share TECNO P5 8.4 % TECNO M3 7.9 % TECNO H5 4.9 % Huawei Y300 3.5 % Samsung Galaxy Note3 3.3 % Huawei Y530 3.2 % TECNO H6 3.1 % Samsung Galaxy S3 3.1 % Samsung...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Huwa nikitaka ku.share Location iwe whatsapp, Facebook, instagram haikubali naletewa huu ujumbe "Maps are not supported for this app at the moment. Keep an eye out for updates" Natumie Nokia XL
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta msaada wa kuroot HTC one max lea anaefahamu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninatumia simu ya LG lakini kila nikitaka kuingiza menu mfano ya airtel money inaload kisha inasema MMIE CODE CANCELLED nikitaka kuweka vocha ni mpka nitoe line niweke ktk simu nyingine..MSAADA...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwenye simu twaweza kutengeneza wifi hotspot ili kutumia internet kwenye computer kwa kutumia wireless hotspots Pia twaweza kutumia modem zetu kama wifi hotspot ili tuweze kutumia internet kwenye...
3 Reactions
14 Replies
9K Views
Niliflash simu yangu ya Vodafone vf865 ili niwe natumia laini zote,nilifanikiwa lakini internet haifanyi kazi nikiweka laini ya tigo au Airtel ila nikiweka voda speed haipimiki tatizo ni nini?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Simu inakuwa nzito katika kuaccess mambo mbalimbali Msaada wa kufuta apps ambazo siziitaji. Ahsante
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Back
Top Bottom