Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Je ninaweza kuiunlock hii modem ya airtel zte mf 190? Naomben hizo njia za ku-unlock.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
If you are in Arusha, tomorrow evening from 6pm we will be having our second Arusha Coders meetup at Farm Radio's Innovation space. Main topic of discussion will be Mobile Payments. Our...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Inajibadili rangi kuwa hivi ona picha
0 Reactions
2 Replies
716 Views
Ukiwa kama mfanya biashara mwenye kampuni yenye standard ambayo inahusika na logistics unaetaka kujitangaza, kuwafikia wateja wako na kuwa more professional. Unaweza kutoa tender ya kutengeneza...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Hon. January Makamba, Deputy Minister of Communication, Science and Technology Like many other countries in the world, Tanzania incorporated Information Technology (IT) as a key sector in...
2 Reactions
37 Replies
5K Views
A day does not pass without hearing someone mentioning about Facebook, Twitter or Instagram, whether it is on the news or from a friend or colleague. In a six years period Facebook has gained...
2 Reactions
1 Replies
3K Views
Nimewekewa windows 8.1 kwenye laptop mpya ila kuna message hii, WINDOWS 8.1 PRO SECUREBOOT ISN'T CONFIGURED CORRECTLY! Na kama inachelewa kuwaka ivi
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Haya ni aina flani iv ya matofar nimeyaona katika kipind cha ujenz apo east Africa television but hawajanipa maelezo yanapatikana wapi na kwa gharama gani..kiukweli nimevutiwa sanaa na hizo tofari...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nawezaje kuunlock Nokia Lumia 521, carrier: T-Mobile iweze kutumia line za hapa bongo IMEI 355913056074698, Naomba Maujuzi, Asante
0 Reactions
3 Replies
995 Views
Heri ya mwaka mpya 2015 wana jf. naomba kwa yoyote mwenye kujua jinsi ya ku-upload research au publication niliyoifanya online ili kila mtu aliyeko sehemu yoyote ataweza kuisoma na kuidownload ...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau kama kuna yoyote ambae anaweza kunisaidia Ku unlock hy simu apo juu VODAFONE 685.........Msaada wenu Tafadhali..... Asantee
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nataka kusomea any object oriented language kwa ajili ya web development na pia online marketing. Nimefanya utafiti nikakuta kuwa naweza kuifanya kwa darasani kama diploma au naweza...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Watu wengi wamekuwa wakiomba kujifunza namna ya ku-design electronics devices. Tatizo ni kwamba wengi wamekuwa wakihitaji kujua kila kitu ndani ya muda mfupi. Elimu ya muda mfupi naitoa kwa watu...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari za majukumu wana JF,Nina tatizo la computer yangu Imac 27" ghafla wakati naiwasha ikashindwa kuwaka ikabaki na white screen na logo ya Apple, nikaizima na kudisconect kill Kitu Kisha...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
I have iphone 5, inakula charge ndani ya muda mfupi sana inakuwa imeisha. Kwa wale wenye iphone, mnatumia njia gani kuweka simu yako ikae na charge muda mrefu? Pia, hapa Tanzania kuna genius bar...
1 Reactions
44 Replies
5K Views
Jamani wanajf naamini kuwa humu ndani kuna wataalam. Naomba mnisaidie hili..jinsi ya kutengeneza Animation kwa kutumia Adobe Photoshop cs6. Plz nisaidien wakuu.
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wanajamvi hebu nisaidieni katika hili, hivi ni huku Chalinze tu ndio signal ya star times imekata tangu asubuhi au ni kote?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nahitaji msaada nilinunua mzigo ebay kwa njia ya paypal sasa hawakuutuma wakarefund pesa. Nikiindia paypal ziko completed refunded but kwenye master card crdb yangu hakuna. Nifanyeje?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Jamani laptop yangu aina ya ASUS inasumbua saana kuwaka na ikikubali kuwaka inaweza freeze nisiweze fanya lolote nimejaribu kupiga windows chini na ku-install upya lakin bado tatizo lipo palepale...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wana JF naomba kujuzwa.Niko Singida na nina Dish la futi 6 nifanyeje ili niweze kupata channel za TV za FTA za movie, Sports, wwe, news na zile za kibongo
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Back
Top Bottom