Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Ki ukweli programmer wengi wanapenda ku-code software wenyewe, ila inapotokea muda na majukumu hayaruhusu wewe kufanya coding wenyewe utachagua option ipi kati ya Hizi. 1. Open Source software...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
For the consumer who wants a smartphone to make an impression, the Lamborghini nameplate can do that -- for a cool $6,000 (about sh16.9m - Ugandan shillings), shipping included. Tonino...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Heri ya Mwaka Mpya wataalamu na wadau wote wa jukwaa hili. Nimesoma kwa masikitiko makubwa kwamba Microsoft watasimamisha support ya Windows xp mwezi wa nne mwaka huu. Hizi habari kwangu ni pigo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa anayehitaji uwo mzigo frklmck@gmail.com
0 Reactions
1 Replies
903 Views
Refer to the heading above, nahitaji kupata laptop ambayo itanifaa katika harakati zangu za kufikia malengo yangu ya kuwa best hacker kwa kuanza kujifunza programming language. Je ni laptop gani...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
kama kawaida kila january ya mwaka mpya kunakuwa na maonyesho ya CES ambapo kampuni mbali mbali huonyesha technology zao mpya. badala ya kufungua thread nyingi nitazijumuisha zote hapa. na sitaeka...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hotspot-Shield-Elite-3.1-Ad-FreeCracked for Premium servers VPN IMECHAKACHULIWA HUHITAJI KUNUNUA KEYS ,INAPIGA KAZI FRESH NI KWAJILI YA ANDROID SMARTPHONES -utaweza kuprotect ip adress yako ili...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Natumia dual sim(voda&tigo) ktk simu yangu, voda inapiga mzigo kama Kawaida lakini tigo inaishia kunipa only GSM service na huwa na-enable 3g service katka line ya tigo pia sometimes huwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nikifanya installation ya win xp p3 kulog in ni lazima nitumie safe mode la sivyo inastack kabla haijafunguka.Nikiinstall win bila ya kuinstall zile device zinazokuja baada ya kuselect...
0 Reactions
0 Replies
632 Views
Habari yenu wadau Nina ndugu Yangu ana duka la vifaa vya ujenzi anahitaji computer application ambayo itamsaidia kurekodi mauzo na manunuzi lakini pia kumpa ripoti mbalimbali atakazo hitaji...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Pole kwa majukumu wakuu nilikuwa natumia laptop yangu aina ya hp 650 nikaiacha kwa mda kidogo nilivyorudi nimeikuta sleep mode nilipojaribu kubofya ili niendelee na issue zangu imekataa na kila...
0 Reactions
5 Replies
836 Views
Nina AdSense katika Blogu yangu,ila sielewi jamaa wanavyofanya. Siku hizi mapato yamepungua sana. Views bado zipo pale pale, Mfano unakuta siku napata mpaka $0.01 na clicks zimepigwa. Sielewi hapa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Astronomers to Earth: You've got some newly found near-twins ...
0 Reactions
0 Replies
793 Views
Nina java standalone database(mySql) application nataka niisambaze for free lakini tatizo lipo kwenye jinsi ya kujumuisha database katika executable file ili nayo iwe installed pamoja na...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Wanaukumbi. Xiaomi proving its gadgets as best value for price phones is now trying to make a mark in India as rumor that Mi4 will be available in December. With Mi3 going sold out in...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Protect zinachangia kupunguza utamu wa simu yako.
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Tangia Niingie JF Nimekuwa Nikijaribu Ku' Upload Picha Kwenye Profile Yangu Bila Mafanikio Yeyote, Kubwa Zaidi Kila Nikitaka Kupost Picha (iyo post) haifanikiwi pia... Ili Tatizo Ni Langu Tuu Au...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Samsung Accessories available for your quality use in affordable price as well if you’re interested to have a copies of 3D films…………….. SAMSUNG LCD TV SAMSUNG LED TV SAMSUNG PLASAMA TV SAMSUNG...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni swali nililotafuta majibu nikakosa mpaka sasa. Je Betting sites zinaupdate vipi matokeo.? Unaweza ukakuta kwa muda husika kuna mechi zaidi ya 100, lakini goli ama kadi ikitolewa tuu, soon...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Nina simu Samsung galaxy SIII Mini (clone) Simu hii ina tatizo moja haishiki 3G sijui tatizi ni nini!! Kwa kifupi mfumo wa utengenezwaji wake uko hivi Model Number GT-18190...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Back
Top Bottom