Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu nina simu yangu aina ya Lg LU6200 version ya Korea tatizo lake ni kuwa ukitumiwa sms na number ambayo umeisave, sms hiyo haionyeshi jina ingawa contact imekuwa saved aidha kwenye simu au...
0 Reactions
6 Replies
966 Views
Kwema waungwana? Kama kichwa cha habari kinavyonyesha,simu yangu nikishaweka betri baada ya kuitumia mfululizo bila kuipumzisha inapata sana moto,kiasi cha kwamba hata betri inawahi sana kuisha...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wandugu nimenuua tecno H6 wiki mbili zimepita sasa tangu jana audio imekufa na sijui chanzo wala solution/ ufumbuzi, mwenye uewelewa na hili tatizo.
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Hivi hizi alerts zinazokuja kwenye android phones unaposurf internet zina ukweli wowote au ni trick ya kuuza app zao? Mara nyingi naletewa alert eti simu yangu iko slow na ina virus wengi na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari niajee wadau wa jamvi. Nimejaribu kubadili picha ya profile yangu kupitia jf app Inashindikana. Naombeni msaada kutatua tatizo hili.. Natanguliza shukrani..
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa Google trends, mwaka 2014 watanzania wame google maneno yafuatayo kwa wingi. haya ndio maneno 10 yaliytafutwa kwa sana... Pia kuna list ya maneno ambayo yametafutwa kwa kasi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nilinunua king'amuzi cha Azam wiki iliyopita,TV yangu haina option ya audio out,sasa nikaunganisha waya wa audio kutoka kwenye king'amuzi kwenda kwenye subwoofer,cha kushangaza...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Nimekuwa sielewi mwenendo wa data usage za hivi vifurushi vya OMG kutoka Airtel takriban wiki sasa. Mara utumiwe sms ya umetumia 90% ya kulifurushi chakk ilhali unakuta hata nusu hujatumia ( hii...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wadau habari,nataka kusikiliza online radio je nitumie application IPI ili niweze fanikiwa
0 Reactions
7 Replies
1K Views
wadau mimi ni blogger na nna adsense but nasikitika adsense hazionekani kwenye opera mini na ukicheki viewers wengi wanatumia opera so nimeambiwa mobstack wanauwezo wa kudisplay ads kwenye blog so...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wataalam, Nimekuwa na suzuki swift kwa karibu miaka miwili sasa, lakini siku za hivi karibuni imeanza kunifanyia mchezo ambao hata mafundi wanashindwa kuuelewa. Tatizo ni kuzimikazimika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimenunua memory card ya 16 GB lakini nashindwa kuhamishia mafile kwasababu ya error inayosema"write protected" ninawezaje kuitoa hii error
0 Reactions
1 Replies
884 Views
Wadau hivi kitengo cha cyber crime hapa kwetu tz wanaweza kujua conversation ya whatsapp ya mtu hata kama amerestore cm yake?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini za jioni wanafamilia ya JF, naombeni kufahamishwa kwa anayejua ofisi za tecno hapa Dar zinapatikana wapi
0 Reactions
7 Replies
2K Views
wajameni. Jana niliona mtu ameshika smartphone kwa jins alivoanza kuifungua mafaili nkadhani ni i phone, kumbe ni tecno h6. Ilikuwa usiku nkashindwa kusoma brand name pale kwenye screen. Pia kuna...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
poleni na kazi! ninataka kununua simu aina ya moto G2 lakini sijapata sehemu wanapoiuza simu hii hapa mwanza .Kwa yeyote anayefahamu namna gani naweza kuipata simu hii naomba anifahamishe.
0 Reactions
3 Replies
886 Views
"I fear the day that technology will surpass our human interaction. The world will have a generation of ------." Source: I Fear the Day That Technology Will Surpass Our Human Interaction | Quote...
0 Reactions
1 Replies
801 Views
Wana jf naomba kwa anaye ifahamu simu hii ya sony xperia z.Uwezo, ukubwa wake wa screen na ram.pls
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Jana usiku nilimuachia mtoto simu baada ya kurudi nikakuta simu imejilock na inaandika PLEASE ENTER THE PRIVACY PROTECTION PASSWORD/PIN. Nimejaribu kuweka PIN ninayotumia...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom