Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
WhatsApp kwa sasa inajipanga kuja na huduma ya kupiga na kupokea simu kupitia application yao. Wanaotumia whatsapp wataweza kupiga simu kupitia kwa walio kwenye contact list zao kama ilivyo sasa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Hi wana JF. Ninapata tabu, kubadiliaha break disc kwani qauza maduka ya spare hawajui ni ipi, hivyo anaejua wepesi wa kumsaidia muuza duka kunipatia, aniaaidie. Japan version
0 Reactions
1 Replies
770 Views
nauza ipad mini 3 yenye apple id zisizojulikana....kama unataka ntafute,, 0753506840
0 Reactions
2 Replies
916 Views
Wakuu me bado mshamba kdg kuhusu hz rangi nyeupe na nyekundu kwenye minara ya simu nk,hv huwa zinamaanisha nini wandugu,mbona cjawah ona rangi nyeusi,blue,kijani na nk?
0 Reactions
8 Replies
5K Views
April mwakani kitu sokoni. Kwakweli mi nishawachoka na kila siku model mpya :confused::confused:
0 Reactions
23 Replies
3K Views
wakuu naombeni msaada wa link ya kudownload Kaspersky antivirus 2014 au antivirus yoyote nzuri yenye activation keys kabisa
1 Reactions
163 Replies
18K Views
Hi naomba msaada wa ku unlock moderm wifi router ZTE R206-Zimei357549053335795 natanguliza shukurani
0 Reactions
6 Replies
4K Views
natumia min laptop lenovo, sasa nataka nitumie email yangu ya gmail kwenye outlook.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama kuna mtu anatumia TING HD anijuze kama option ya kurekodi katika flash inafanya kazi.maana kingamuzi cha AZAM haifanyi kazi.ukirekodi mpaka uicheze humo humo vinginevyo hakuna. nataka...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nimekutana na tv ya philips14" picha ya tv hiyo hapo tatizo lake ukiwasha taa ya standbuy inawaka ikitaka ku switch tu ina zima na taa ya standbuy ina waka na kuzima na speker utasikia inafanya pu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Compuemter inaishia katikat ninapoiwasha
0 Reactions
2 Replies
887 Views
Compuemter inaishia katikat ninapoiwasha Yaan haidisplay any icon kwenye desktop natumia win7
0 Reactions
0 Replies
498 Views
wadau mwenye movie tajwa hapo juu,naomba anisaidie, natanguliza shukrani
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naombeni mwenye Ujuzi wa upgrading Android version kwenye Note 2 anielekeze, nahitaji kuapgrade cm yangu.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wadau et bei sahihi ya simu tajwa hapo juu kwa anayejua, ubora na weakness zake maana kuna mtu anaitakia 180 hapa na mi sina uzoefu nazo, aniarifu nisijekurupuka
0 Reactions
0 Replies
781 Views
Free CCcam from me both ZAP and DSTV C: vpnguruz.systes.net 12000 jf001 nju001 C: vpnguruz.systes.net 12000 jf002 nju002 C: vpnguruz.systes.net 12000 jf003 nju003 C: vpnguruz.systes.net 12000...
1 Reactions
11 Replies
7K Views
habari ndugu wana jf simu yangu imeanza kusumbua kwenye kamera niki select sehemu ya camera simu inaleta giza kwenye screen halafu inastuck mwanzo ilikua poa kabisa Naomba msaada na Asanteni
0 Reactions
1 Replies
881 Views
Leo asubuhi nimeapply ads toka google na wamenijibu hvyo sasa naombeeni mnisaidie kusolve hayo matatzo waloniambia siunajua ni vzur kushrikiana na watu ili mambo yaende vzur
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nipo unaandika report yangu hapa . lakini kuna kitu kimenishinda, nataka niwe na numbering tofauti. Yaani page za dedication, contents, acknowledgement , certification ziwe na roman type...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Natumia mini pad p9 inaonesha ina 12gb jumla na zimetumika kama 700 mb ambazo nimeweka baadhi ya apps lakini nikitaka kudownload apps nyingine zinakaaa kuingia simu inaandika insufficient space...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom