Database ya kutunza rekodi za hundi( cheque/ check). Inakuwesha kutunza na kutafuta(search) rekodi ya check kwa haraka zaidi. Tunza mpaka rekodi billion 1 za cheque.
Achana na kutumia microsoft...
Wadau naombeni msaada wa masaa nitakayo tumia ili kuendana na masasa ya hapa tz, maana ninayotumia kwa sasa inachegana na mda, eti nikupost kitu kwa mfano sasa hivi inaonyesha sasa tatu asubuhi na...
Database ya kutunza rekodi za hundi( cheque/ check). Inakuwesha kutunza na kutafuta(search) rekodi ya check kwa haraka zaidi. Tunza mpaka rekodi billion 1 za cheque.
Achana na kutumia microsoft...
Nina tab tajwa hapo juu, kwa bahati mbaya imedondoka na kioo cha juu kimepasuka(Touch bado inafanya kazi maaana ndo naitumia hata kupost huu uzi) Kwa mtu anayefaham naomba anielekeze wapi na...
Habari zenu wakuu,naombeni msaada kwa yeyote mwenye uelewa..nina huawei p6 yenye Android version 4.2.2 then nkafanya local updates kwa kudownload firmware inayoishia na B125, B132 na mwisho kabsa...
Habar wadau nauliza hivi nikiunga internet ya voda ya 1000 kwa siku ikifikia mb1024 speed inashuka je nikijiunga kifurush cha 20000 cha mwezi ni vile vile kuna limit au ndo ni magumash tu ili...
Nina tab tajwa hapo juu, kwa bahati mbaya imedondoka na kioo cha juu kimepasuka(Touch bado inafanya kazi maaana ndo naitumia hata kupost huu uzi) Kwa mtu anayefaham naomba anielekeze wapi na...
Wataalam, naomba msaada wa namna ya kucopy certain sections kutoka Google Books. Kuna materials nahitaji kucopy/kuprint, na hii kitu nimeiona Google Books tu.
Wakuu sina shaka mnaendelea na shughuli za ujenzi wa taifa letu.
Kama nilivyotangulia kusema hapo juu nahitaji haraka sana program ya SPSS version 17. Computa yangu ni window 7, nipo Korogwe kwa...
Salaam ndugu zangu wanajamvi,nimemenunua ki-simu kidogo tu kizuuri cha Nokia X2 na kuanza kuenjoy huduma za mtandao, ktk kuperuzi na kujifunza mambo ya mtandao nilianza kuunganisha mtandao kwa...
Sina kumbukumbu yoyote ya PUK, jana nimetoroka kazini nikaenda mlimani city nikakuta bonge la nyomi, nikipiga customer care haipatikani! Kuna jamaa yangu kaniambia ipo jinsi ya kupata PUK bila...
Wakuu natak kuquery data from database,
ila nataka kuzigroup kwa miezi, Yaani mfano nina attendance ya kuanzia mwezi wa kwanza ila nataka nivute data zote zinipe link ya miezi kimfano ni kiclick...
Habarini wapendwa.......
Nina simu aina ya Nokia C3 00.. Hii naipenda sababu inakaa na charge tofauti na smartphone nyingine nilonayo sasa hii NOKIA C3 00 tangu jana siielewi yaani nikienda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.