Ninasumsung s3 mini ambayo nimeweka custom Rom CM11 so ina run android 4.4.4.
Nime activet encrypt now i want to dencrypt (deactivate it) nashindwa so plz help guyz.
Wadau msaada please kwa wenye ujuzi, nataka kubadilisha ESN ya modem yangu (CDMA) ila sina software, naombeni msaada please, nimejaribu ku google ila mpaka sasa sijafanikiwa kupata jibu sahihi.
Natafuta charger (power supply) ya Acer Iconia Tab. Kichwa chake ni pini sio kama micro USB za kuchajia hizi normal smartphones. Ina output ya 12V ===== 1.5A
Iliokuja na Tab imeungua naona...
Habari wakuu,
Naomba ufafanuzi kidogo juu ya powerbanks mbalimbali za kichina zinauzwa mitaani. Kwasababu nyingi zianonekana zimeandikwa zina uwezo mkubwa, namaanisha uwezo wa kutunza...
Hellow JF members. Today I am going to show you how to hack facebook account. I have decided to do this due to many request i got from JF members who wanted to learn how to hack facebook account...
Wapenzi wa technology, kila mwaka things get better kuliko mwaka uliopita, tupia tech gani unayoisubiri sana kwa hamu mwakani.. Mimi list yangu
1. Oculus Rift CV1.. Hii iko namba moja maksudi...
wandugu najua mpo bize na bunge move....
naomba tuje na huku....
kuna app 1 nimeiona ya boost speed ya net....kwenye 2g...3g...na 4g.... lkn nimeweka mambo ni yale yale.... naimba ufafanuzi...
Wakuu naombeni msaada kuna vitabu kadhaa jana nimekesha nikidownload vikakubali na nikavitazama na kuvisave. Baaa ya hapo kila ninachofungua inasema :
Adobe reader could not open 'text.txt'...
Salamu wakubwa. kuna mtu amenipigia simu masaa kadhaa yaliyopita (jana jioni), napenda kufahamu sehemu aliyokuwa wakati anapiga hiyo simu, kuna mtu yeyote kati yetu anayeweza kunisaidia katika...
kumekuwa na uongezekaji wa bidhaa feki ambazo zimezoeleka kwa jina maarufu za kichina! Ila leo napenda kuwajuza juu ya kutambua samsung galaxy original na feki , hiyo picha hapo juu ni picha ya...
Msaada jamani nataka Ku update kutoka window 8.0 kwenda window 8.1 .naomba msaada ili niweze Ku update my PC nimejaribu kuingia kwnye store inaniambia this iz not avalaible on your PC...lakin...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.