kampuni ya microsoft inaachilia operating system mpya ya window 10 ifikapo tarehe 21/01 2015 na kikubwa ambacho watumiaji wengi wa window watafurahia nacho ni ujio wa classic start button ambayo...
1. WhatsApp Messenger
Ni Application inayotumiwa zaidi kwa sasa na watu kutumiana meseji, picha na video.
2. Shazam Encore
Ni Application inayoweza kutambua wimbo usioufahamu...
I have galaxy note3. Its locked to one of our local SIM.
I need help to unlock it. Coz i knw there are codes out there and this is a benefit of being a member of JF.
Thank u.
SAMSUNG NOTE BOOK INAUZWA KWA BEI NAFUU.
HARD DISK: 280GB.
R.A.M: 1GB.
PROCESSOR: 1.60ghz
PRICE TAG: 400,000/= Tsh
PLAYSTATION 2 + Game CDs + GAMEPAD
PRICE TAG: 200,000/= Tsh
CONTACTS...
Habari zenu wakuu.
Kwa kipindi kirefu nmekua nikicikia kuna jinsi ya kufanya ili nitumie bandle ya kawaida instead ile ya BB.
Msaada wenu wakuu katika hli,ukizingatia mm ni mmoja wa no 1...
Nimekinunua mwaka 2013 nikiwa mwanza nikahamia kahama kikawa hakitumiki nikawauliza star time wakaniambia eti ni kwa sababu kahama bado haijaunganiswa kidigitali, sasa star time wanaving'amuzi...
Habari zenu ndugu..naombeni msaada wa jinsi gani nifanye ili ni-unlock simu yangu huawei ascend Y530, maana haiwaki zaidi ya kuleta ujumbe wa neno PHONE LOCKED.
Asanteni na nawatakia sikukuu njema.
Habari wa tech
Nina simu yangu ya kichina ambayo processor yake ni Mediatek mt6582 na inatatizo la imei. Nimejaribu kurepair hiyo imei kwa volcano box ila nimeshindwa kabla ya kuanza sababu simu...
Kumekuwa na simu nyingi za Android ambazo zimekuwa zikiingia sokoni kila kukicha, Lakini wateja wengi wametokea kununua simu na kutoridhishwa na stock ROM inayokuwepo kwenye simu. Simu nyingi...
Guyz plz help me I gat zte v6700 ambayo inatumia line moja tuu ya TTCL tuu and mm nataka kuichange niweze kutumia line za mitandao mbali mbali,na kuinstall custom ROM je there is any possibility...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.