Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Is Microsoft about to kill off Internet Explorer? Windows 10 set to come with new 'Spartan' web browser Microsoft will show off software for first time on January 21st in Seattle Single app...
0 Reactions
0 Replies
980 Views
Hivi kuna kifaa chochote ambacho unaweza kukiweka kwenye gari ukaki configure kikafanya kazi kama GPS Tracker? Mwenye kujua naomba maelekezo
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari members, ninauliza wapi naweza kupata tracking devices zinazoonyesha ramani ili nifunge kwny boda boda yangu, naona boda wangu anakwenda maeneo yasiyoruhusiwa! Msaada members!
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu nina galaxy s3 original shida ni kwamba imeanza tabia ya ku-stac mpaka nitoe battery niweke upya ndipo inakaa sawa. Kinacho nikera zaidi ni kwamba wakati imestac ukinipigia...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Salaam wakuuu... Ninatumia simu aina ya BlackBerry 9800....kuna dogo nilimpa anishikie mara moja...huku JF application ikiwa hewani..lakini cha ajabu aliponikabidhi simu yangu....kila nikifungua...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
omba msaada
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Nilinunua umeme wa luku kwa nmb mobile token ikaja lakini ile ya screen tu. Kawaida huwa inakuja sms ya kawaida. Chakushangaza sms ya kawaida haikuja. Sasa naomba wadau mnisaidie Kuona screened...
0 Reactions
2 Replies
664 Views
Nilinunua umeme wa luku kwa nmb mobile token ikaja lakini ile ya screen tu. Kawaida huwa inakuja sms ya kawaida. Chakushangaza sms ya kawaida haikuja. Sasa naomba wadau mnisaidie Kuona screened...
0 Reactions
0 Replies
541 Views
Nimenunua laptop k/koo HP CQ61 ram 2gb Hdd 250 gb processor 2.4ghz Kwa 399000/= vipi wadau nimepigwa au?
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Haya ni aina flani iv ya matofar nimeyaona katika kipind cha ujenz apo east Africa television but hawajanipa maelezo yanapatikana wapi na kwa gharama gani..kiukweli nimevutiwa sanaa na hizo tofari...
0 Reactions
0 Replies
983 Views
Ni miezi sasa inapita naitafuta playstore bila mafanikio.Ni app ambayo picha zake common saana insta yaan inazifanya picha ziwe na mwonekano ka zimechorwa hv. bt kwa rang nzuuri. Njeribu ma app...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
nataka kununua king'amuzi je? kipi kizuri Azam,Startime,Contnental.
0 Reactions
1 Replies
631 Views
pc aina ya dell inachagua flash ni flash yangu tu 2gb inayosoma nyingine hazikubali...nmeshauriwa nibadilishe window maana kuna key zimemisi..msaada kabla ya kubadilisha window naweza nkafanya nini?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba mwenye ujuzi na hii sever system aje tuongee biashara
0 Reactions
26 Replies
2K Views
natafuta business partner ambaye ni web developer ambaye anataka kujiajili call 0713454603
0 Reactions
0 Replies
579 Views
habar wakuu...nnatambua wazi kabisa u wezo mkubwa uliomo ndan ya jukwaa hili , nnaombi. moja kwa yeyote mwenye uzoefu na jinsi ambavyo unaweza kufanya namba flan pekee isikupate hewani hata...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nawaza kuwa na ka factory kakutengeneza toothpics any idea?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu heshima kwenu. antivirus tajwa hapo juu ina load updates hadi 100%,but hai install.Inaniandikia extremly out of date.Computer is at risk
0 Reactions
3 Replies
845 Views
Dah! Poleni na majukumu ya Leo. jamani Mimi natumia cm aina ya Itel, it 1351.ila inazingua sana upande wa whatsapp kilanikijaribu kufungua whatsapp inanijibu ("Your phone date is inaccurate...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu aisee mie nimepata tatizo dogo kwenye simu yangu ya huawei ascend y300 ni kwamba simu inaonesha kuwa ina charge hata nikiitoa kwenye charge simu inaonyesha kuwa bado iko kwenye...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom