Nimekaa na kufikiria sana toka tech-ya line 1 ambayo inasadikika kuwa orijino baadae line mbili (mchina) mpaka line 3 na kuendelea lakin na mapinduzi yote hayo bado simu za kisasa kabisa aina ya...
Kwa wale watumiaji wa TTCL Broadband, nimekuwa nikijaribu ku login kwenye akaunti yangu ili nione ni kiasi gani cha bandwidth ambacho nimetumia mpaka sasa lakini kila nikijaribu kufanya...
samsung Z. chanzo: samsung
Hapo jana kampuni ya Samsung imezindua simu ya kwanza duniani inayotumia mfumo wa uendeshaji wa Tizen badala ya Android kama ilivyozoeleka. Samsung Z yenye uwezo...
habari wanajanvi,natafuta iyo touch ya HTC kwan yang haifanyi kazi mkanda wake umekatika,ivyo kwa mwenyenayo naomba ntumie namba yako tufanye bihashara,au kama unajua mahali zilipo basi naomba...
Wadau kuna mtu anatumia nbc kwenye pay pal nimekuwa refunded pesa yangu ila sioni kama kuna mtu imewahi kumkuta hii hali anisaidie alifanyaje??
Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
Naomba msaada, nimenunua laptop ya toshiba satelite pro u500-EZ1321, shida ni kuwa siwezi kuaccess web cam direct , kama ilivyo kwenye oc nd laptop zingine
So nitafurahi kwa msaada wenu
habari wadau, kwa wale wenye ujuzi na mambo ya IT, naomba kufundishwa namna ya ku'unlock modem ya safaricom niliyokuwa nikiitumia mombasa kenya now nipo home kilwa, maeneo niliyopo kuna network ya...
Habari JF,
Well mimi ni mteja wa ttcl internet broadband. All i can say nimelipa package ya unlimited ya 3 months for my home use.....ni week ya 3 sasa sijapata internet ya kueleweka from these...
Wakuu nataka kununua gari online nimeiona na nimeipenda toyota kluger 2002 sasa naomba wazoefu mnijulishe process hadi itakapo nifikia arusha kuna process gani za kufuata pamoja na swala zima la...
wakuu nilikuwa nataka kujua series ya launch x 431 ipi inaanza na ipi ni latest ya mwisho kabisa na wametengeneza mwaka gani
je katika series zote ipi ww unaikubali ni bora zaidi ikiwezekana na...
Wana great thinkers..naomba mnieleweshe. Mahali ninapoishi ni karibu kabisa...kama hatua 400 hivi kutoka kwenye mnara wa mawasiliani mtandao wa kampuni fulani. Nilitegemea kwa uelewa wangu kuwa...
habar wandugu..
Samahan kama nitakua nimekosea kuiname hiyo simu..
hii simu jamani nikirecord video baadae nikizitafuta sizioni kabisa..nimeenda mafaili yoote sizioni ila picha naziona..anaejua...
Habari wana jf
nataka kujua kutoka kwa mtu yoyote anaejua kua katika nchi yetu kuna uwekezaji wowote uliofanywa juu ya teknolojia walizo nazo baadhi ya watanzania?iwe ya kuiba(kucopy)au ya mtu...
Wana JF wenzangu ninaombeni mnisaidie code za ku-unlock huawei yangu ambayo ilikuwa inatumia chip ya airtel,lakini kwa sasa naona kama airtel inasumbua sana kwa huku nilipo.Naitaji nitumie laini...
Habar wadau..naomba kujua jinsi gan ntazirudisha channel kwenye list yake, king'amuzi changu kmepoteza baadhi ya channel kama clouds tv na tv 1, nmejarbu kusearch ila znarudi zlezle tu. Naomben msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.