Hamjambo wanaJF!!
Naomba msaada. Nina Tecno Phantom A+ ambayo ni rooted. Nawezaje kuifanya SD Card ikafanya kazi ya RAM? Ni 32 GB. Natanguliza Shukurani.
Wadau nani anajua hii kitu?.
Nataka nipate maujanja ya kutuma nyimbo zilizo kwenye simu yangu kwa kutumia watsapp...
Sent from my iPhone using JamiiForums app
Habari za kazi wana jamvi.
Kwa utangulizi tu napenda niwajulishe kwamba field ninayoizungumzia hapa ni Table Field, na version ya database ninayoifanyia kazi ni Office 2010 (file format...
Apple is set to release iPhone 6, its latest update to the iPhone juggernaut, in the fall. While iPhone 6 sales are expected to be huge for various reasons, there is a broader question facing...
nina facebook page yangu , hata nitupia post vipi like zinaongezeka kidogo sana inafika kipindi ninikata tamaa kwani ina mwaka mmoja sasa ila ni like mia tano tu
Habari. Naomba kufuhamishwa juu ya haya magari used yanayouzwa japan na kwengineko hasa yenye bei za chini sana kama USD 100 na kuendelea, je ubora wake upoje? kodi yake ukiagiza inakuwaje...
Habari za zenu wakuu,
Tafadhali mwenye kujua jinsi ya kuview contact zote kwenye HTC anielekeze.
Manake kuna namba nyingi za watu nishasevu bt nikitaka kuwapigia sizioni kwenye phone book, ila...
Ni Software rahisi sana kutumia (Hauitaji kusoma Accounts wala Computer).
Inajumuisha mambo yote ya Accounts pamoja na Inventory, Payroll. Pia ina-support Multi-Branch, Multi-Currency. na mambo...
simu za touch zinapendwa sana hasa na kina mama
hapo zamani simu hizi za touch zilitengenezewa na vijiti special maarufu kama touch stick bila hivyo vijiti usingeweza kutumia simu kwa maana...
Nimekua nikitumia internet kupitia cable,wireless na MODEM. Siku tatu zilizo pita nimeshindwa kutumia internet kupitia cable ila wireless inafanya kazi kama kawaida. Naomba msaada anayeweza...
Shalom,
Nina redio aina ya Sony, mafundi kadhaa wamenieleza imekufa kadi inayo control ''USB na mlango wa CD'' hivyo haisomi flash na deck haifunguki. Mafundi wanasema radio ni ya kisasa spea zake...
Hizi simu zinapromotiwa sana sahivi,nasikia nazo zinatumia Android OS,kwa aliyetumia or anayeijua zaidi vipi umeionaje?(Ubora,Uwezo wa battery,Internet Speed,etc)
Wadau naomba msaada kwa waliowahi kutumia na wanaotumia tecno M3. Sielewi kwa nin siku hizi sim yang ina drain charge faster kiliko kawaida. Afu matumizi yang n yaleyale.
Kuna simu nilinunu aliexpress tarehe 6 mwezi huu nikalipia na shipping kabisa $53 DHL wakisema itafika kuanzia siku 4-8. Baada ya siku kama tano nikawasiliana na seller akaniambia ametuma mzigo...
Naomba msaada wenu Wakuu na Wataalam wa Simu za mkononi. Camera ya nyuma ya simu yangu Tecno P3 haifanyi kazi (haionyeshi hata kidogo) isipokuwa camera ya mbele tu ndio inayofanya kazi. Naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.