Hallo Wana JF.
Mimi nnatimia receiver ya Qsat 13G. Quality ya Picha nnayoipata ni Mbovu kupitiliza nikilinganisha hata na kisimbuzi cha Azam. Nimeload pia Account ya DQIPTV kwa ajili ya Channels...
Wanajamvi habari!
Kwa niaba ya Kampuni yangu ya Mwangili Electronics Solution(MES),tutaendesha mafunzo ya muda mfupi ya kielectronics.
Mafunzo haya ni kwa ajiri ya Wataalamu na...
Kwa wale wanaohangaika ku-root simu zao za tecno na zinginezo. basi application hii hapa inaitwa kingo, ni rahisi sana kutumia na inafanya kazi chap chap...
Hahari zenu wanajamvi...
Wakuu hiyo simu imekataa kusoma line ghafla...alafu pia huwa inastuck sana..inatumia android version 4.1.2 msaada plz kwa yeyote mwenye idea..
kabla ilikua inafanya kazi vizuri, gafla ikagoma, nimejaribu kufanya settings nimeshindwa,
naomba mwenye kujua jinsi ya kufanya settings anisaidie please....
1..Install the basic GO Launcher Pro app (free) on your device
2..On the GO home screen, swipe up to see options.
3..Tap Preferences.Ignore the Upgrade to prime box at the top; instead...
Habary zenu wadau nina external aina ya Transcend 1TB, siwez kuangalia muvy wala kuhamisha, nime format mpka nimechoka kama kuna mtu anaweza nisaidia ...naomben msaada wenu wadau
What transpires when you present young, technologically-savvy people with archaic, seemingly pointless technologies theyve never seen in their lives? Watch what happens as kids ages 6 and 13 turn...
JAMANI NAOMBENI MSAADA WENU WA DHATI NILITENGENEZA WORD DOCUMENT NA NIKAIWEKEA PASSWORD NA NIMEISAHAU PASSWORD NAOMBENI MSAADA WENU NIFANYAJE NA UKIZINGATIA NI SENSITIVE DOCUMENT OF MINE
MWENYE...
wakuu kama mnavyona hiyo picha hapo inaonyesha kama vile sina internet connection yeyote japo hapo ipo connected kabisa na pia kutokana na hali hiyo imesababisha nashindwa kabisa ku connect...
Hi
Kwa siku kadhaa nimehangaika kutafuta Mobile partner v22 maana v23 sijaipenda kabisa....
Lakini nilizozipata tayari zina brand names za websites husika mfano Huawei USB modem Unlock, Unlock...
naomba mwenye ujuzi au ufahamu kuhusu ku unlock huawei modem E173, tatizo;nimefanikiwa ku unlock lakini ukiconnect modem ina detect network(Tigo,Vodacom n.k) bt ukiclick button ya connect,network...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.