Wana bodi kamini hp kangu kamedondoka ikaweka doa nusu ya kioo ila inafanya kazi,msaada namna ya kutengeneza au kama spare mwenye nayo tuongee biashara nipate kioo
I'VE BEEN USING THIS METHOD 4 LONG NOW 2 DEAL WITH MTN.
All u need is an MTN #100 or #200 Card.
Pls don't use above or they may discover.
Just Go 2 ur message menu & type a message in this...
Naomba kujulishwa kwa anayefahamu haya mambo,Mimi ninatumia dish la kawaida kupata local channel,ITV,STAR TV,TBC,CHANNEL TEN,Je ikizimwa mitambo ya Analogia nitaendelea kupata matangazo ya channel...
Eti ile ndege inayopita juu sana na kuacha moshi wa mchirizi inaitwaje? Kuna watu wanasema inaitwa rocket! Ni kweli? Je kwa hapa Africa inatua wapi, nchi gani? Mwenye ufahamu anijuze tafadhali.
Wana jf msaada plz jinsi ya ku install whatsapp kwa nokia Asha 200 kuna uzi niliuona humu unahusu hii kitu lakin najaribu kwangu inashindwa nipo mbez mwisho
Naombeni mnisaidie. Nina huawei y320 mpya ila haikubali internet kabisa. Nimewapigia Voda wakasema haiwezi unganishwa automaticall ila akanielekeza jinsi ya kuweka manually Settings--Mobile...
Wakuu wa tech naomba mwenye kuweza kunisaidia jinsi ya kupata drivers za cm hii ya Vodafone Smart mini please anisaidie maana nimejaribu kuzidownload wapi..naimba msaada
Hellow wana jf wadau wa hili jukwaa, nina simu hapa ilikua na pattern kuna mtu alichezea hakua anajua patterns so now imeji block n it need google acc iliokua inatumika na paswed na vyote vpo...
salute wakuu! naomba msaada wa namna ya kuondoa virus kwenye simu. Simu yangu inatoa alert kuwa na virus 13, lakini sijui namna ya kuscan. Simu yangu ni sumsung duos, please help. Natanguliza shukrani
Kwa masikitiko na furaha kubwa pia natangazia rasmi kujitoa katika biashara zote za decoder za kichina na biashara zote za internet kama pdproxy pamoja na biashara zote za kuuza account kama...
Wakuu nisaidieni,nimenunua Nissan Navara kwa mtu,nimeendesha kidogo tu taa ya Disel Pariculate Filter(DFP) inawaka na gari linakosa nguvu kabisa.Mwenye kujua wataalam wa kuitoa hiyo taa kwa...
Wanduguz nisaidieni nina Kilaptop kile kidogo kisicho na CD Room aina ya Samsung kina window 7 ambayo ishakuwa attacked na virus km milioni hivi, Sasa kila nikijaribu Kuboot kwa kutumia external...
Naona leo kuingia kwenye menu *149*01# nimekutana na hiii
cheka zogo,...ambayo utaweza kupata dakika za kupiga voda -voda
tsh 495- dakika 30/saa 24
tsh 645 dakika 45/saa 24
tsh 995 dakika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.