Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naomba msaada wa mtu mwenye uwezo ww kuweka whatsapp katika nokia 3310
0 Reactions
1 Replies
957 Views
Habari Wana jamvi, Pengine Kuna mahali nakosea naomba kuelekezwa vizuri nafanya activation ya windows 10 pro. Lakini inaniambia .... Unable to activate windows. Nikiweka key napata huu ujumbe...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu hapo nyuma kulikuwa na idadi ya watu tofauti tofauti walikuwa wakitumia Your Freedom kwa kulipia. Hasa kwa mtandao wa Tigo na Ttcl. Nilitaka niilipie ila nilitaka nijue kwanza...
3 Reactions
10 Replies
539 Views
Naweza jua kama kuna mtu amesha wahi pata huduma zao? Nahisi kuna harufu ya UTAPELI , hawako wazi kabisa .
0 Reactions
14 Replies
3K Views
MAAJABU YA GOOGLE SMART LOCK !! Kuna wale watu wanawekaga password kwenye simu zao alafu wanasahau kabisa wanajikuta wanataka kufuta Kila kitu kwenye simu zao [emoji3] bila kupenda ?? Relax...
9 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari za usiku wakuu... Naomba niende kwenye maada moja kwa moja.. Nimekuwa na changamoto ya kufahamu kama simu ni original au ni fake.. hususan kwenye makampuni ya samsung,oppo, iphone na...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Jana nimeanza kuitumia simu hiyo ila dosari iliyopo haiwezekani kupiga,kupokea simu,sms wala net. Je, kunanamna ya kuondoa hilo tatizo? Ikumbukwe nilinunua nikijua ni kopi
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mtanzania Deogratius Mosha, ameibuka mshindi katika kinyang’anyiro cha uvumbuzi kwenye teknolojia kwa wavumbuzi wenye umri chini ya miaka arobaini kutoka barani Afrika, maarufu kama Forty under 40...
1 Reactions
4 Replies
596 Views
Habari wanandugu Natumaini ni wazima Naomba Nsaada wa Kusaidiwa namna gani naweza kupata huduma ya kufungua internet cafe na shida yangu kubwa ni upatikanaji wa data plan mzur yani mtandao upi...
4 Reactions
29 Replies
5K Views
**Important Twitter does not sell the blue Verification badge. A Twitter employee will never ask for financial compensation in lieu of a badge or as part of the application process. Twitter does...
1 Reactions
6 Replies
448 Views
Kama kawaida bosi hachoki kaanza kupiga spana modification za whatsapp akianza kwa kishindo na gb whatsapp na anakupa onyo la kwanzia saa moja ukikaidi anatafuna namba yako kutumika katika...
22 Reactions
314 Replies
15K Views
Wakuu, poleni kwa majukumu ya ujenzi wa taifa. Na waliopo safarini loliondo poleni sana. Naomba mnisaidie ili niwe napata email notification kwenye cm yangu NOKIA E61i. Nimejaribu setting...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jamani PC yangu haitaki kuwaka na kuconnect hotspot na device nyengine.
0 Reactions
1 Replies
397 Views
Kati ya friji ya mtumba na ya dukani IPI ni nzuri na brand IPI kwa jina. Thibitisha kama unatumia brand hiyo.
1 Reactions
25 Replies
25K Views
Habari wakuu Naomba mwenye solution ya hili tatizo anisaidie tafadhali Nimesubscribe nyuzi kadhaa Ila nikifungua mahali pa notification nakuta "no notifications" Natanguliza shukrani[emoji120]
2 Reactions
3 Replies
635 Views
Hello members (wale ambao mlikuwa hamjui kama mimi)! Niliposoma kuwa Elon Musk na wenzake wametafadhalisha kuwa Artificial Intelligence (kwa kifupi AI) isiendelezwe tena kwani ni hatari kwa...
9 Reactions
39 Replies
3K Views
Habari zenu wana Jamvi, naombeni ushauri juu ya hizi fridge zilizopo madukani, ni aina gani ya fridge ni nzuri na inayodum mda mrefu, na ni kitu gani cha kuzingatia wakati wa kununua hizi fridge...
1 Reactions
45 Replies
22K Views
Habarini Naomba mwenye link ya App inaitwa dexcon tun 8 nimeitafuta sijaipata bila mafanikio.
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Habar wadau hope kila mtu leo upo home wiki iliopita nilianzisha mada ya fiber internet na kila kitu kikawa sawa kila mtu anajua kuwa unternet ni muhimu katika kusaka saka huku na kule niligundua...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari Wana Jf,kama kichwa Cha habari kinavyojieleza.Mfano nataka kufungua ofisi/cafe,niweze kutoa na huduma ya wifi pia.Kwa uzoefu wako,ni ISP gan ungependekeza kuomba huduma husika? Mfano...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom