Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Week end Hii wengi tulizikosa Eatv, Itv,capital kupitia Satelote Dish zetu Leo asubuh Nlikua na Nmetulia home nikaona nivema nitumie my time kucheza na Dish maana nlibakiwa na chanel za...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Please kwa yeyote mwenye kitabu cha PHP AND MYSQL kinaitwa Begininig PHP and MYSQL E-Commerce From NOvice to Professional-Third Edition: Mimi nina Second Edition ambayo ina lack vitu flani...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Wanajamvi samahani naomba kupata shule juu ya haya; 1. ni nani upanga kwamba labda mwaka huu uwe na mwezi february wenye siku 28 au 29? 2. halafu ni nani au kwanini tarehe ubadilika saa sita...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani habari zenu, Nina simu ya samsung kama nilivyiotaja hapo juu, simu hii ina shida mbili, kwanza Play Store hai load kabisa kila mara inasema hakuna internet connection wakati mitandao...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Je,mtu anaweza kuhack akaunti ya facebook,jf, au mtandao wowote wa kijamii na akatumia bila kubadili password ya mwenye Akaunti aliyohack??
0 Reactions
2 Replies
807 Views
Naulizia simu ya techo ya bei ndogo kabisa yenyewe uwezo wa kufungua file la mfumo huo hapo juu.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau naomba msaada wa kupata application ya whatsapp kwenye simu yangu aina ya TECNO T731(android), kwani kila nikijaribu zinagoma kudownload. Natarajia msaada wenu
0 Reactions
7 Replies
6K Views
:A S-fire1: OK KWA WAKAZI WA DODOMA WOTE NINA ONGANISHA INTERNET BURE KWENYE SIMU ZOTE ZA ANDROID BEI NI NAFUU KWA MAWASILIANO CHECK ME ON 0653 600565 :A S-fire1:PIA TUNAUNGANISHA FREE INTERNET...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Naomba kama kuna mtu yuko karibu na Vodacom anifikishie ujumbe kwamba mtandao wao sasa unazidi kukera wateja. Nimeweka pesa muda mfupi uliopita na kununua bundle ya Tsh 4200 kwa ajili ya kupiga...
0 Reactions
34 Replies
2K Views
Habari wakubwa Nawaombeni msaada niko na simu aina ya HTC desere S hii simu inanisumbua sana inajizima na kujiwasha wenyewe na inapojiwasha inanipa ujumbe huu:- "Your phone has just recovered...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
heshima kwako mkuu unayepita kuiangalia thread hii,. . .pc yangu ni hp pavillion dv 6700,tatizo lake ni kwamba webcam yake haionekani katika devices and printers,nadhani tatizo ni kwamba inamiss...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari ndugu mwana jf,nina tatizo dogo ambalo linanishnda kulitatua,ni kwamba nimeinstall window 8 katka pc,sasa shda ni kwamba maandish bdo makubwa kiasi kwamba pc haivutii kabisa,nahisi tatizo...
0 Reactions
2 Replies
714 Views
Laptop yangu inahitaji service ya hardware, haswa keyboard. Wanapatikana wapi?
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Hawa jamaa Sahara media sijui ni utaalamu umewapiga chenga hata ccn, aljazeera, bbc, emmanuel tv, msbn, Reuters, ktv-Kenya na chaneli hata moja ya wanyama wameshindwa kuweka kwenye kingamuzi chao...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
wajameni wanaotumia AZSKY g1 zenye bulb1 na 2 acount zao zita expire usiku wa tarehe 31 mwezi huu. new accounts tyr zishatoka ila hapa kwe2 hazijafika ila zikifika tutakujulisheni. zitakuepo za...
0 Reactions
1 Replies
782 Views
Apple wanatarajiwa kutoa operating sysytem mpya ya IOS 7 mnamo Septemba 10 kwa ajili ya bidhaa zao. Tetesi hizi zimetokana na screenshot iliyochukuliwa kutoka kwenye barua-pepe kutoka kwa...
0 Reactions
0 Replies
765 Views
Simu ya Google Nexus 4 iliyotengenezwa na kampuni ya LG imeshuswha bei. Kampuni ya Google imeshusha bei ya simu hiyo ya Nexus 4, kwa wengi hii inaashiria uwezekano wa kuwepo kwa uzinduzi wa simu...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nahitaji mtu yeyote anayeifahamu vizuri sana Adobe Photoshop na Adobe PageMaker ili anifundishe. Kwa mawasiliano zaidi niandikie PM.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani naombeni kujuzwa kama kuna tofauti kati ya digitek na continental decoders na hipi ni bora?
0 Reactions
1 Replies
863 Views
Naombeni wana jamvi mnijuze frequency na symbol rate za channel za ITV, EA TV na Capital tafadhali. Nawakilisha wakuu.
0 Reactions
1 Replies
740 Views
Back
Top Bottom