Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wandugu kama kuna mtu anajua jinsi ya kuongeza OS (operating systeam) ya simu hasa android devices anisaidie mana nimeckia kufanya hyo ki2 inawezekana japo cjampata mtaalam hata...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wale Wanachama wenzangu Mujihadhari na ujumbe huu fake (ACCOUNT CLOSE ALERT !‏‏) Watakuambia Eti u Active account yako ya hotmail.com wana dai Eti usipo active itafungwa hawa...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Msaada wenu kuhusu cm tajwa hapo juu kuhusu ubora wake bei yake na uwezo wake wa internet PIA JNC YA KUZTAMBUA HTC ORIJINO
0 Reactions
3 Replies
902 Views
Wakuu, Naomba msaada juu ya hilo sababu natumia nokia e71 ila nimekuwa nikipata shida wakati nikitumia browser ya Opera mini{ama zote zile za kudownload like Ucbrowser yaani sio hallisi katika...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Earth-Size 'Lava Planet' With 8.5-Hour Year Among Fastest Ever Seen Like Dislike...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Sony experia P,ile inbuilt whatsapp icon imetoka,haipo kabisaa,najaribu kudownload upya kwa playstore inaleta msg that an error occured in brackets(403)...cjajua wanamaanisha!nifanyeje niweze...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
wakuu nilibadilisha window kwny comp. nkaweka Window Xp, tatizo sauti haitoi. Nimejaribu driver tofaut bado haijarekebishika. Msaada wakuu.
0 Reactions
5 Replies
928 Views
wapendwa, habari za siku nyingi. kwa sasa niko dar na katika kujiweka sawa na mambo ya mtandao nikanunua modem ya tigo ya kutumia kwenye laptop yangu. ila cha kwa kweli sijaifurahia huduma hii...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Please kwa yeyote mwenye Activation key za Artisteer naomba tafadhali!
0 Reactions
1 Replies
949 Views
Hello PHP GURU, we all know that php is an Open Source, but doesn't mean that every open source is a free software.There are lot of encryption methods which can be done to the PHP codes, please...
0 Reactions
2 Replies
791 Views
Wadau heshima kwenu! Nimenunua tecno p3 ikiwa na external memory 8gb tatizo nkidownload app kubwa na kuisave kwenye external,internal inajaa pia,nlishafuta v2 vingi bt still warning remain the...
0 Reactions
2 Replies
857 Views
naomba kujua wakuu! Hivi niki activate window defender nina haja ya kutumia anti virus?...coz natumia window defender kama mbadala wa anti virus!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
kwa anae fahamu azam tv lini inaanzishwa na tunaipataje atujuze
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa wale wenye ujuzi na torrents.... seeders and leechers zinamaanisha nini na zina kazi gani katika torrent file..... maana kuna torrent moja nimekuta watu wanalaumu kuhusu leechers and seeders...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wanajamvi shida yangu ni kwamba modem yangu niliichakachua na kuifanya itumie laini zote na zaidi natumia Metfone 3g sofware kukonect. Na kwa bahati nzuri hii soft. ina call feature, ila tatizo ni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu wana Jf,naomba msaada wenu simu yangu Nokia X2-01 nikiingia ovi store nikadownload kitu inaandika "no valid certificate" na pia ovi browser inaandika hivyo lakini mwanzo simu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ndg wanajamvi salaam, kwa wiki hii nzima nimepata meseji ambayo siielewi kutoka 15453, nanukuu; "GeoPoll: Udjibu ndiyo kua itshika mawulizo 4 geopoll kua ku saidiya umodja wa taifa lengo. Ushiriki...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
If you don't already have a copy of MusicMatch Jukebox, download one from musicmatch.com. The "Plus" version has more features and burns CDs faster, but the free version works just fine for...
0 Reactions
0 Replies
956 Views
Habari ndugu zangu. Nina miliki simu HTC One X, ni simu nzuri sana. Pamoja na uzuri wake, simu hii haikai sana na chaji hivyo nataka kubadili betri. Simu hii HTC One X ukiitazama vibaya unaweza...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
wakuu naombeni masaada wenu kuna mtu anataka aniuzie gs3 mini mpaya mimi nimpe laki na nokia asha 302 vipi ni biashara reasonable au napigwa??
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom