Start with C programming
Ndung wana JF ningependa kuanzisha uzi huu kwa lengo la share idea katika kuprogram macrochips. kwa kutumia C na Assembly language.
Ningependa wachangiaji wachikite...
Niaje mazee kwanza kabla ya yote nimetegeneza video kuonyesha kuwa hii repack is working perfectly maana at many times hizi repack au compressed games zinakuwa haziwork.. hii inawork tu ukifuata...
Habari wakuu,
Ninatumia account ya yahoo,sasa kuanzia leo mchana nimeanza kupokea delivery failure kwa e-mail ambazo nilishazituma hapo zamani na kujibiwa bila tatizo.Kitu kingine cha ajabu ni...
Habarini wana jf, nimenunua laptop ya aina niliyotaja hapo juu kwa kweli najuta, kwanza naona iko very soft kutokana kuna siku nilikuwa nimeiweka kwenye begi la mgongoni huku na ride pkpk kutokana...
nimenunua televisheni pamoja na dishi la kunasa mawimbi ya TV na hapa nilipo hakuna mtaalam wa kunisaidia kufanya setting ili niweze kupata taarifa mbalimbali za ndani na nje ya nchi hivyo kwa...
habari wanajamvi........
Naomba msaada wenu kwenye hili
Natumia pc window7
kila nikiiwasha inaonyesha sentens "window is loading files.........." then inaanza kuload inaandika
"Startup...
Nilikuwa natumia AVG 2012 trial hadi last week ilipoexpire nikaitoa.Baada ya hapo computer yangu haiconnect kwenye internet,si modem wala wireless. Nikiweka modem network inasoma kama kawaida 3G...
Naomba msaada kwenu programmers,mimi ni beginner nimetengeneza application kwa kutumia vb.net 2010,kutokana na kazi yake ni ClickOnce Application haihitaji kufanya installation,problem inakuja...
kwa wanaofahamu au wanaotumia ebay. unaweza kuagiza bidhaa ikakufikia tanzania au ebay ni inatumika kwa huko kwao?
kama bidhaa inakufikia tanzania vipi kuhusu suala la malipo ili bidhaa ikufikie...
Nina HP laptop ila inanisumbua for long time now,nikiiwasha muda mwingine haidisplay screen inakuwa nyeusi tu ila unasikia imeshawaka au Kama umawatch kitu inakuwa blank afu sauti inaendelea...
naomba msaada wa haraka, maana ghafla computer screen imebadilika rangi na kuwa ya kijani. Na tena tatizo limezidi kuongezeka maana kuna vidotidoti vyekundu vimeanza kutapakaa screen nzima...
Msaada na mm jmn
cm yangu (nokia 3120classic) niikingia kwenye Galley kufungua memory card inaniambia 'memory card not formatted' format now
nifanyeje na mm ctak kuiformat
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.