Wadau naomba mnisaidieni nimeweka windows 8 ila nikitaka kurun karspersky yangu niliyokuwa natumia kwenye windows 7 inakataa na kunipa message inayosema kuwa the program has some compatibility...
Wakuu nawasalimu. Naomba mnisaidie kujua hili: Nipo Hong Kong nimependa Android Tablet pc moja inayo support phone call. kinachonichanganya ni katika specification zake imeandikwa ina support 2G...
nimepitia thread kazaa lkn link nilizoziona niza magnet ambazo kidogo ni juu ya uwezo wangu na hazikuweza kufunguka,,,baada ya kusema hayo basi naomba mwenye hiyo link ya ku-free download...
Nisaidieni Dell Optiplex GX260 series Processor 2.6 Ghz 768 Ram umeme ukiwa mdogo inazimika na kuanza kuRestart mpaka umeme utakapoongezeka lakini desktop zingine mzigo kama kawa hata kama umeme...
kama huwajui anonymous ni hacker wasiojulikana ambao ni maarufu duniani na wametokea kupata fans wengi. Wana folower 680,000.
Kama mpo aware now israel anaishambulia palestine pamoja na mauaji...
Smartphones:
All phones by Manufacturer:
Pamoja na hayo Android pia inamiliki asilimia 90 ya soko la China, soko kubwa kuliko yote la smartphones duniani, Android inatisha...
Za saa hizi wakuu.
Yaani leo nimetoboa usiku kucha kutaka kujaribu kutatua tatizo la desktop yangu DELL inrun win7 home X32, lakini imeshindikana. Ishu ni kama ifuatavyo;
Ghafla bin vuu, computer...
Heshima kwenu wakuu.
Almost 2 days now my funbook tab inashindwa kuingia kwenye android market..
Nimejarib kulog in again and again with my gmail account nayo inagoma ku log in kabisa...
Nimeona tangazo kwamba sasa dw tv inapatikana.naomba msaada jinsi ya kuipata hiyo tv.receiver yangu ni strong SRT 4622X.Frequency ninazo ila sijafahamu ku nitaiweka upande gani wa dish,na kama...
Wajameni naomba msaada wa kujua namba ya simu yangu ya voda niliyoichukua tangu mwezi wa nane au tisa kwa ajili ya internet, ila sikuitumia. Sasa nataka nianze nayo lakini sijui namba yenyewe ili...
Vodafone AppStar ambayo ni mashindano ya kutengeneza mobile App yanayoshirikisha Egypt, Lesotho, South Africa,Qatar,Kenya & Tanzania. Vodafone Developer : AppStar
Washindi wa Kenya wametangazwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.