Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
nimetafuta maduka ya mtaa wa Uhuru kariakoo yote nimekosa.!
0 Reactions
4 Replies
934 Views
nimelipia kifurushi cha uhuru lakini nashangaa channel kama STVE 1, MTV Base, Kungfu, DTV Hazipo kwenye list ya channel. Sasa sijui zimeondolewa au kwangu tu ndio magumashi?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani naomba mnijuze ntawezaje kutambua kama window mobile ni original, inaitwa Mito9000 ina keypad na screen touch, na ina mfumo kama computer kuna start microsoft excel na vingine tatizo...
0 Reactions
6 Replies
968 Views
Naombeni msaada wenu wataalamu wa hii category je ni kweli kwamba pc yenye linux ina virus free yaani haiwezi kuingiliwa na virus na je kati ya pc yenye window & na linux ipi ni latest
0 Reactions
6 Replies
971 Views
Salaam Wanajamii, Kukua kwa teknolojia ni faida kubwa sana kwa jamii,huduma ya kutuma fax na mtu kuipata kwa email ni huduma ambayo imekuwepo katika nchi mbalimbali,kwa nchi ya Tanzania ndiyo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jama technitians tv ni ya nchi 17 ina jina: ouling imegeuka rangi ghafla imekuwa na rangi nyekundu na vimistali ila sauti inatoka msaada wa maelezo plz!
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Jaman naombeni msaada wenu kwan kuna tofauti gani katika ushikaji wa internet kati ya simu za kawaida na nokia asha 311, sababu nikiwa maeneo ya town napata internet fresh kwenye hyo nokia, bt...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Nina ka-Blackberry ila kuna link nyingine na app nashindwa kufungua inaniandikia "This is Wi-Fi service.Please ensure your device has an active Wi-Fi connection and try again" Sasa mi ndo tatizo...
0 Reactions
2 Replies
712 Views
Habari ndugu zangu wanaJF... Wengi wetu tumekua tukitumia google blogs, zile zenye extension ya .blogspot.com kwa ajili ya kupost habari na taarifa mbalimbali. Nimekuja kugundua kua izo blogs...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kwa wataalam hii sio tatizo ila kwa wageni, jifunzeni kurahisisha kazi kwa kutumia keyboard shortcuts, hizi hapa below, The General Shortcuts We’ll kickoff the list with some really...
2 Reactions
6 Replies
993 Views
Samsung set to release smartphones with bendable display screens next year. This is ment to reduce the occurences of screen breaking or cracks. Hmm...what should we expect from apple then...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Naomba msaada wa hiyo activator kwa mtu kuni nisaidia kuia attach hapa ili niweze kuipata kiurahisi coz ku google inanisumbua wakati wa kui download nawasilisha....
0 Reactions
4 Replies
908 Views
Habari wana jf nataka huduma hii ya electric fence kwenye uzio wngu 1.ukubw wa kiwanja ni 1200sqmita inakuwa je bei yake na niwatafute watu gani kwa kazi hii yaani kampuni gani ni bei gani???/...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nahitaji link ni download Mavis beacon ambayo si trial. Nahitaji assistance
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natambua ya kuwa kuna plugin nyingi sana za wordpress za caching na speed improvement ambazo ni nzuri and most of them are highly recommended lakini kwa upande mwingine plugin hizo zinaweza kumpa...
6 Reactions
11 Replies
1K Views
Brand New Dell Vostro 1540 Description Processor: Intel Core i3, 2.5GHz Memory: 2 GB RAM Graphics: Intel HD Graphics integrated Hard disk: 500 GB Display: 15.6in 1,366×768, LED-backlit...
20 Reactions
72 Replies
6K Views
Wana jamii! Nimepata I-PHONE 4, 16GB kutoka Marekani lakini imekuja na lock, kwa yeyote anayeweza kunisaidia jinsi ya kutoa lock.. Anisaidie Heshima!
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Naogopa kuUpgrade kwenda windows 8 kwa kuhofia kwamba labda applications au softwares zaweza kuwa incompatible with hiyo kitu, sasa naomba msaada wenu' 'vipi hizo previous programs mko nazo...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Jamani ningependa kujua kwa wale wataalamu wa website kama kuna wapenzi wa Drupal CMS (drupal.org). Ingekuwa vizuri kama tungekuwa na community hapa bongo au hata east africa.
0 Reactions
2 Replies
863 Views
Greetings, It has been a while since I last interacted na wanaJF humu, nilikuwa nashughulikia kitu ambacho leo ndio nimewaletea mnipe maoni yenu. Nimetengeneza website hii http://www.achuver.com...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Back
Top Bottom