Wana wa jf habari za kazi natumai hamjambo.Tafadhalini naombeni msaada wenu modem yangu ya voda inagoma kuwa installed kila ninapojaribu kuinstall ujumbe huu unatokea INSTALLSHIELD Kisha...
Kwa wazoefu wa smart phone naomba mnifahamishe ni smart phone ipi yenye betri imara kwa kuwa nyingi zimekuwa zikiwahi kuishiwa betri hasa ukitumia internet.
Nitashukuru kama nitafamishwa na bei.
wanandugu za weekend.
naomba mnisaidie kitu hiki. nataka kuwa na simple database or excel sheet ambayo nitakuwa naweka kumbukumbu ya manununuzi na mauzo ya cosmetic produts.
parameters...
Wadau Kuuliza si Ujinga!!!!!
Nina swali dogo la kijinga ila ni la msingi katika technologia ya sasa.
Naomba kuuliza sms tunzazo delete kwenye simu, computer na kwenye Receycle bin zetu huwa...
nokia naona imekua charity company sasa wamepatner na mozilla wametengeneza map itaitwa "HERE" hizo map zitakua ni cross platform yaani zitapatikana pia android na ios.
Pia nokia wameinunua...
Naomba msaada wa jinsi ya ku un-lock printer hiyo (EPSON STYLUS 1410) inapojifunga (lock) maana hizi printer huwa zinajifunga baada ya kutoa copy kiasi fulani cha karatasi (printing) na kila...
Internet Explorer 10 ambayo ilikuwa inapatiikana kwa Windows 8 tu leo imetolewa kwa ajili ya Windows 7 nenda Download Internet Explorer 10 Release Preview kudownload.
1)Download hiyo software..
2)then uzip,run hiyo activator as admin
3)Click Windows 8 Install/Uninstall
4)subiri hadi ijirestart then tayari kitu kiko activated!!!!!!!!
Nb:ukitaka kupersonalize...
mke wangu alipoteza simu yake ambayo alikuwa ameset IMEI notification kila ukibadili line, sasa jamaa alieiokota hajui nini kinaendelea na kwakua sitaki kumfuatilia kuogopa kupoteza muda...
By Gustav Sandstrom
Finland's Nokia Corp. (NOK) slipped to the seventh position in the global smartphone market in the third quarter, as global sales of mobile handsets fell slightly from a year...
Wana jamvi,
I was thinking that we real need to have center for new technologies or emerging technologies here in Tanzania. Nimejaribu kuangalia kwa nchi kama Kenya, Cameroon, Nigeria Ghana na...
Niko katika mchakato wa manunuzi ya digital camera, aina ya Sony Cybershot.
Lengo likiwa ni kupata bidhaa halisi(Original).
Kutokana na kuwepo bidhaa fake za electronics, Napata shida sana...
wadau najua mshanielewd nina ipad 3 nyuma imeandikwa toshba sasa nachtaka kujua ni sehemu ya kuweka line coz nimeskia kuna ujanja wa kukata line na kuweka na inapiga kazi sasa mimi nimeangaika bjona
Wakuu naomba mwenye info wapi naweza piga kozi ya GRAPHIC & DESIGN kwa mda wa jioni saa 1 na kuendelea mda huo utanifaa sana coz huwa natoka kibaruani saa 11 wakuu nimejaribu kuulizia pale UCC...
Kama una BlackBerry® 6 OS na kuendelea unaweza kudownload update ya BBM ambayo itakuruhusu kuongea na wenye BBM wengine kama vile Skype inavyofanya. Ni kwa kutumia WiFi tu, so 3G haikubali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.