Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
I don,t know how draw two or three graph by using the same source of information
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wadau naomba msaada ya website ambazo unaweza order online vitu kama digital dictionary na wakafanya delivery in secure way kupitia DHL au EMS..ntashukuru sana kwa msaada wenu
0 Reactions
0 Replies
835 Views
Nimekuwa nikijaribu kila wakati kununua APPL za Bure kutoka Itune store lakini nashindwa. 1.Nilifungaua acc kutoka APPLE lakini ninapotaka ku-Download zile APPL za bure naambiwa acc.yangu mpaka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu, Naombeni ushauri wenu wana JF mimi ni mlevi wa huu mtandao ninapoukosa kuupitia kila baada ya muda huwa nahisi unyonge,kilichonipata mpaka kuwaomba msaada ni speed ninapoingia...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
2GB PC3200 DDR Memory (RAM) Bei yake ni kiasi gani kumbuka huku Tarime hizo vitu ni nadra sana
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Black iPhone 4 frm Europe,used for 3 months,comes in a box- no scratches
0 Reactions
2 Replies
779 Views
Internet architecture Even though the Internet is still a young technology, it's hard to imagine life without it now. Every year, engineers create more devices to integrate with the Internet...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Nokia Mobile Secret Codes Nokia Asha Secret Codes , learn to Hide secret photos and other useful tricks. To check the phones Software revision for Nokia Mobile. On the main screen type *#0000#...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Heshima mbele wakuu, Tafadhali nimesahau password ya email address ya gmail msaada unafanyaje kuirudisha.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamani nahitaji msaada wenu, mimi ni mfanya kazi wa kada ya Information Technology (IT). Natafuta institute au kampuni yoyote ile ndani ya Dar Es Salaam ambapo naweza kupata intense training ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu leo nimekuja na Clip ya sekunde 29 inayo waonyesha Wanasiasa wanao jadiliwa zaidi kupitishwa kuwania Urais mwaka 2015 chini ya Ccm.Lengo langu sio kuhamishia mijadala ya kisiasa ktk jukwaa...
4 Reactions
0 Replies
1K Views
BlackBerry 10 will launch on Jan 30 next year with two new phones 12 NOVEMBER, 2012 After getting delayed, RIM's BlackBerry 10 platform finally has a launch date set. On January 30, RIM will...
0 Reactions
0 Replies
729 Views
habari wadau, kwa wale wateja wa benki ya NBC tafadhali nenda upesi kacheki salio lako,kwani kuna wizi mno wa pesa.Uchunguzi wa haraka haraka nilioufanya nimebaini wengi waliokumbwa wa zahama hii...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wadau, Naomba kwa ambaye ana uzoefu na hawa ZUKU Satelite TV, je wana ubora kiasi gani? Je huduma zao zinafaa? Je kwa TZ mikoani wanapatikana? Kwa mfano mkoa wa Mbeya. Kama umejiunga nao...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
ERRORS CODE: 80096001. Msaada wenu tafadhari.
0 Reactions
0 Replies
598 Views
Nipo home sasa gafla nabadili chanel naiona eatv hawajaiweka ile alama ya $ iko plain kama Tbc Nyinyiem. Ni hiyo tu wajameni
0 Reactions
9 Replies
1K Views
wakuu nimenunua ipad 3 yenye gb 16 xaxa mimi niwe muwaz ni mtupu kwa ipad naomba mnijuze naweza ingza microsoft word apo na mengne oayojua oambie
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hey guyz..najua wengi tupo busy especially sisi wana TECH na science ok sasa waweza chart na mungu wako hapo hapo kwenye PC yako..huku ukiendelea na kazi zako jaribu sasa..usidharau press enter...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Wakuu heshima kwenu. Najaribu ku-upload website via FTP client (FlashXP na Filezilla). Baada ya ku-upload nimekwenda phpMyAdmin kushusha tables ili ni upload PLRBoy.sql lakini siioni site yangu...
0 Reactions
3 Replies
931 Views
Kwa taarifa nilizozipata hivi punde airtel wamerudisha kifurushi(bundle)cha 400m kwa 2500tsh na vifurushi(bundles) vingine vya zamani naomba kuwakilisha
0 Reactions
295 Replies
27K Views
Back
Top Bottom