Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wandugu mnijuze Eti wale wanaotumia nyungo aka madishi aka satellite dishes! Je nao hawatapata matangazo ya TVs sababu ya mageuzi ya digital??
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba mnisaidie jinsi ya kufanya kuweza kufungua iPOD ambayo imekuwa disabled please.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mwenye experience na ubuntu naomba msaada,nimeinstall op ya ubuntu,tatizo sauti,nikiweka head phone nasikia sauti nikitoa sisikii,imenisumbua kichwa sana naomba mwenye ujuzi na hii kitu anisaidie
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari zenu wakuu naomba msaada wenu nautumia laptop aina ya samsung i7 RF 511 window 7 nina tatitizo la keyboad yangu herufi tatu hazifanyi kazi nikajua labda ni driver za tauchpad nika weka...
0 Reactions
3 Replies
820 Views
habari wadau, naomba msaada wenu ktk hii laptop yangu nimejaribu sana kupata screenshot lakini inakataa.Nikijaribu kutumia on screen keyboard kupiga screenshot inakubali lakini keyboard ya laptop...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
hivi inawezekana ku-post kwa rangi au any other formating katika social network facebook so called bb codes, kama nilivyofanya kwenye hilo neno!na kama inawezekana 2saidiane basi!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
A newly discovered alien planet may be one of the top contenders to support life beyond Earth, researchers say. The newfound world, a "super Earth" called Gliese 163c, lies at the edge of its...
0 Reactions
2 Replies
772 Views
A newly discovered alien planet may be one of the top contenders to support life beyond Earth, researchers say. The newfound world, a "super Earth" called Gliese 163c, lies at the edge of its...
0 Reactions
0 Replies
753 Views
jf's i have installed wine in my ubuntu 11.4 but still it fails to open and edit my .pub files but it does only for .doc,.xls help me out of this mess.
0 Reactions
2 Replies
972 Views
natumia simu Ya Nokia 6120c naomba msaada wa settings za E-mail mara m2 atakapokuwa anani2mia niwe naipata moja kwa moja kwny MAIL BOX. Ahsanten
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jama habari za majukumu? Samahani kuna website ina nyimbo currently ila haitaki kudownload nyimbo je suruhisho nini inaitwa "bongo muziki" Manase
0 Reactions
8 Replies
2K Views
photoshop ni a very powerful image editor ukijua kuitumia. siku ya leo nataka niwaonyeshe nguvu za cloning tools ambazo ni very simple, lakini kwa matumizi mazuri, can do wonders. kama kawaida...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Sim yangu nokia N73 kila niki turn On bluetooth inakataa kwa kuandika unable to open bluetooth, naomba msaada nifanyeje?
0 Reactions
1 Replies
695 Views
Nimekuwa nikiapata ujumbe huu mara kadhaa huku nikiwa sijui maana yake. "Bandwidth Limit Exceeded The server is temporarily unable to service your request due to the site owner reaching his/her...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Most of the time I have been trying to advice fresh minds in college about the importance of engaging themselves in something that would bring money to them directly instead of having to work...
1 Reactions
1 Replies
791 Views
baada ya samsung ativ ikaja nokia lumia 920 na 820 zikaja motorola droid then ikaja iphone 5 na jana tukaona first motorola yenye intell processor (2ghz) sasa leo ni htc world ambapo htc inazindua...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu heshima mbele, leo ninakuja kishida shida zaidi, nina skype a/c, lakini kuna mtu ambaye hata simfahamu naye amefungua skype a/c kwa full name yangu, kwa hiyo tunatofautiana skype name. kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana jamvi naomba msaada wa CD-Key za Windows VistaTM Ultimate pia naomba msaada wa ku-unlock modem ya Airtel ZTE MF 190.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
how do i get 3d games especially racing games to be played on a pc with only 514 mb RAM?
0 Reactions
3 Replies
822 Views
Back
Top Bottom