Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wadau samahan mwenye software ya kublock call and sms kwa blackberry curve ukiacha call blocker kwan nimetumia nimeona haipo userfriend pili inazuia calls tu tatu namba uliyoblock inacall kwa few...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
--> SAMSUNG B7722 (...a phone no one knows about)- Original , sio KICHINA as have RECEIPT with GUARANTEE still VALID It has features like a iPhone, (3g plus internet, Wifi, etc) Social...
0 Reactions
0 Replies
670 Views
imsy messenger for JAVA..ni kama whatsapp app..ni support cmu nyingi xana tena xana, yaliyomo katika imsy ni inakusaidia ku2miana picha,kuchart na much more like update status on facebook,pamoja...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
JAMANI ANAYE IFAHAMU HOMPAGE YA AIRTEL TANZANIA AMBAYO NAWEZA KU-SURF HATA NIKIWA NA 0 Tsh ANITAJIE.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za leo wanaJF. Naomba msaada/ushauri toka kwenu jamani, computer yangu imegoma kuonyesha Start Menu. Kinachotokea ni kwamba ninapoiwasha, baada ya ku-load katika hatua zile za mwanzo, pale...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nasikia kuwa tunahamia katika mfumo wa Digital kutoka Analogy. Mimi kwa ujumla sielewi lolote, nilitaka kununua tv lakini jirani yangu akaniambia ninunue za digital. Nilipomuuliza anieleze zikoje...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
award winning antivirus Avast, have produced antivirus. This is according to Alwil's advert to avast users. Checkout Alwil's Avast page http://www.avast.com/free-mobile-security
0 Reactions
0 Replies
626 Views
Simu yangu ni nokia 2690.Nilipoinunua nilikuta OPERAMINI ambayo imenisaidia kuwa kwenye ulimwengu wa kisayansi.Naitumia kufungua WEBSITE ZOTE ikiwemo JF.Tatizo la simu yangu haiwezi kudown load...
0 Reactions
11 Replies
7K Views
wadau naomba msaada, nimejaribu ku unlock modem huwawei modem kwa kutumia huwawei unlocker (IMEI 359574035564815 ) nikapata unlocking codes ambazo ni 57142205, nikazitumia ku unlock lakini ikawa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naombeni msaada wenu kwa yeyote mwenye ufahamu wa Operating system nzuri ya bandwidth Manager kwa ajili ya ISP. Kwa upande wangu mimi naifahamu moja tu ambayo inaitwa ET/BWMGR inayotengezwa na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu, nna simu ya iphone 4, ilikuwa na ios ya 4.0.2 na juzi nilipokonect na laptop yangu ikaapdate na kuwa 4.2.1 since then imekwama na inataka original sim card only, naomba msaada kwa mtu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
WATAALAM NAOMBA MSAADA JINSI YA KU-UNLOCK HII MODEM NI YA MTANDAO WA AIRTEL(E153u-2).NATANGULIZA SHUKHURANI.THANKS.
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Download U-Torrent kutoka hapa, utakayoi install na kuitumia ku download Office 2010 Professional ISO file kutoka hapa, ambalo ukishamaliza ku download utalifungua kwa kutumia winrar utakayoipata...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
ndugu memory card yangu ilikuwa na password na mi sizijui na sasa nikiweka katika simu kwa ajili ya kutumia haikubali bali naambiwa niingize password nifanye nini kwani kuna vitu muhimu ndani yake...
0 Reactions
0 Replies
753 Views
Wakuu nawaombeeni munisaidie kama kuna mtu anajuwa Activation code ya (AutoCAD 2012 32-bit) nitashukuru kwa msaada wenu mubarikiwe wote asanteni.
1 Reactions
5 Replies
7K Views
Nilikua natumia ant-virus ya kaspersky ya 2011, sasa kuna folder flani lilikua na trial ya kaspersky hiyo hiyo.... sasa kuna mtu nilimpa atumie laptop yangu, aka install ile trial wakati kulikua...
0 Reactions
2 Replies
991 Views
habari zenu wakuu mi naomba kujuzwa hizi smartphone ni simu za aina gani na adroid ni simu za aina gani utajuaje kama hii ni smartphone na hii ni adroid kama vile samsung ,nokia kama mimi nina...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
nafikiri wengi munaijua hii application ya watsap, ok ni hivi hii aplication ina sifa moja hua haidisconect network yaani muda wote internet connection yako inakua active so ina maana ukiiconect...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Dstv wame launch Dstv mobile for Only Vodacom Customerz Guys kama Wewe Una cmu ina support 3g internet Speed And Streaming (watching online) you Can watch Tv then..go to the Vodacom Home page then...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Baada ya MegaUpload kufungwa na FBI na wamiliki wake kukamatwa sasa service zengine za file sharing zinajizima zenyewe, Uploaded.to wameblock watumiaji wa Marekani, FileServe wamefuta karibia...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom