Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nimenunua modem ya airtel, na nime install.Tatizo linakuja ninapo connect inaniambia "pick up the handset and dial (or ask the operator to dial). Press ok immediately after dialing,then replace...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
salaam, jamani naombeni msaada kwani kuna mtu anatumia jina langu kwnye facebook akijifanya ni mimi.sijajua lengo lake bado.sina utaalamu sana na mambo ya facebook je nifanyaje ili asiendelee...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Voda wana aina mbili za modem moja wanauza 25000 na nyingine ni 35000 Ni nn utofauti wake. Nataka kununua watalam naomba ushauri wenu
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu ninaamini mnajua mengi zaidi ya ku unlock modem za zte na huawei.je na simu za zte na huawei nazo kuna ujanja? Au mpaka flash tools.KARIBUNI
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Msaada tafadhali Nimedownload FIFA 2011 gb 4.5, Football menager g.b 4.3, nikizifungua zinaenda direct kwenye kuburn kwanza.. nimeburn ila CD still hazikubali kuplay kwa mwenye kufahamu hizi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Coz nimejaribu kuitafuta bila mafanikio. mwenye nayo ikiwa working, with key au crack, anipe au anidirect tafadhali.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wadau wa teknolojia? Naomba mnijuze jinsi taa za barabarani zinavyofanya kazi maana zinanishangaza giza likitokea zinawaka mwanga ukitokea zinazima halafu kila siku na zinatumia umeme au...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Hali zenu wandugu. Tatizo langu ni kuhusu iphone4 yangu, nilijaribu kupgrade OS mpya bila kufanya backup kwenye pc, kwa hyo imfuta vitu vyangu muhimu kama number, sms, picha, email nk. Je...
0 Reactions
0 Replies
905 Views
When I insert a any DVD into my Dvd player I receive a message that states "Windows Media cannot play DVD because a compatible DVD decoder is not installed on your computer" I have Windows XP...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Please refer to the thread "Malipo mishahara dirishani" as a background to this request for ideas and solutions that can be availed to our esteemed government officials in eradicating the ghost...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Msaada wadau mwenye kujua AVCHD Activation Key ya Magix Movie Edit Pro 17 HD Plus, nashindwa kuingiza Video kutoka kwenye Camcorder yangu inayopiga muundo huo wa AVCHD.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Jamani.. Nimetumiwa zawadi ya simu hiyo hapo juu. Tatizo ni kwamba,access ya internet nimepata siku 3 tu za mwanzo kwa laini ya voda,halafu ikagoma.Hata ile alama ya 3G siipati. Nikaweka ya tiGO...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wataalam nsaidieni uzuri na ubaya wake
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakubwa, binafsi ni mgeni kwenye jukwaa hili baada ya kupata utambulisho wa rafiki yangu ambaye ni mchangiaji mzuri wa jukwaa hili(jina kapuni) Sasa leo nakuja na hii tovuti Ughaibuni - Tovuti...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Kaka naomba nisaidie hiyo mbinu nieendelee kujichana
0 Reactions
1 Replies
792 Views
Nimenunua modem ya airtel, na nime install.Tatizo linakuja ninapo connect inaniambia "pick up the handset and dial (or ask the operator to dial). Press ok immediately after dialing,then replace...
0 Reactions
0 Replies
766 Views
Time wacher (tiwa 5.11) version hiyo nnatumia lakin nme install admn na client nkizilink zinafanya kazi vizuri cku nzima na admn ina control vizuri client kama wa tano ivi. Sasa tatizo nikizima...
0 Reactions
0 Replies
559 Views
ebu tazama jamani www.chtentv.com
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hello Friends Today I am going toshare one of the the Most Important Thing With You Guys i.e How tomake your System Almost Unhackable. Today I will Help you tomake Your PC stronger and secured...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba mniambie ubaya na uzuri wa laptop aina ya Sumsung.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom