habari wana jamvi,
naomba msaada wa ushauri wa kitaalamu kuhusu monitor yangu (sony multscan E400),kwani ghafla imeanza kupoteza rangi na ukiigonga inakaa sawa,yaani inarudi ktk rangi ya...
Salama, jamani ninapata tabu katika kuunganisha network ya Zantel pia na kujaza vocha kila nikiunganisha napata msg ifuatayo "Error 691: aceess was denied because the username and/or password was...
Waungwana naomba msaada wa license key ya spyware doctor 9.0.0.898. Pia kuna sehemu wanataka license name, natakiwa kuandika nini? (msaada jamani, jahazi linazama)
Wakuu naomba msaada wa kujua kitaalam mvua dar zilizosababisha mafuriko zilinyesha kwa kiwango gani.... nimetazama kwenye website ya TMA hakuna hizi data
Habari za jumapili wapendwa?nimenunua laptop procesor ni pentium na ni 32 bit os je kwa iyo itakuwa ina mapungufu gan ukilinganisha na za kisasa au naweza kubadilisha procesor?
Computer inazingua inaleta sms hii "PXE-E61 media test failare check cable" hata nikitaka kuboot cd ya window inashindikana....nimecheki cable zote lakini sijafanikiwa jaman I.Ts naomba msada wenu
Nina laptop hp 620,ilikuwa haina shida kabisa,bt lately,nikiwa nacharge betry inacharge mpaka 90%, halafu haiendelei kucharge, inaandika plugged in not charging,rating ya umeme iko ok,nimejaribu...
jamani naomba msaaada wa majina ya movies ambazo zipo kwneye jamii ya wrong turn, the breed, jason x, the tribe, 13th friday night, lake eden, black water e.tc. ili nizidownload kutoka internet
Habari waungwana.
Ninaomba msaada katika kutatua hili tatizo.
Ninapenda sana kutumia browser ya operamini katika simu zangu zaidi hata ya browser ya simu yenyewe.
Lakini hivi karibuni...
Napenda tu kama kuna mwenye idea ya proces za google na jinsi ya ku seti intanet ya bure, sababu inasemekana unaweza tumia intaneti bure ila unatakiwa useti kupitia google mwenye idea jaman please...
wakanda
Develop data driven web applications for desktop (web browser), smartphones and tablets.
Plenty of intro videos to showcase some of the features in this new tool...
Code Away!...
jana nilikuwa nikiangalia kipindi flan clouds tv wakionesha msanii flan akitengeneza video ya wimbo wake.
Nilicho gundua ni siri ya kwanini video za bongo ni mbaya.
Kwanza wanakuwa hawaja...
Habari zenu wakuu kuna app nimetengeneza via facebook.. ambayo itakuwezesha kupost on your wall sayin via Jamiiforums kama kwa mfano ukipost kupiia simu yako inasema via mobiel, or via blackberry...
Wakuu juz kat nilidownload programe ya NERO wakanipa trial ya siku 14,.sasa ime-expire natakiwa ninunue, naombeni mnijuze jinsi ya kuchakachua au nipate serial no. za kuinunua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.