Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Hello Tech members Moja kati ya maswali yanayojirudia rudia sana kwenye ulimwengu wa Teknolojia ni "Nijifunze kipi Kati ya Language Y na Language X Au kati ya Framework Y na Framework X?" Kwa...
5 Reactions
38 Replies
5K Views
I am looking for recommendations on where I can get short course on Data Science with R Programming language..
1 Reactions
8 Replies
855 Views
Ikiwa umefungua akaunti ya paypal ya kenya kwa kutumia namba ya safaricom, kuna probability tatu. 1. Hutodaiwa kuverify chochote utaitumia kwa muda flani mpaka siku ya siku ndipo wakudai uverify...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa wale ambao mlikuwa mnapata tabu ya makato pale mnapoenda kudraw pesa kwakutumia payoneer mastercard sasa airtel wamesolve hilo shida. Airtel wana huduma ya kuhamisha pesa kutoka mastercard au...
4 Reactions
15 Replies
4K Views
Mitandao mizito sana na mvua hii basi ndio kabisa inakatakata kama tanesco na umeme na mvua na ukiwa na shida unataka kusolve kitu kwa haraka basi ndio inakuwa balaa tupu.. Wadau hebu tupieni...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Habarini za usiku ndugu, Naomba kuuliza kwa 500,000 ,nahitaji TV flat screen kuanzia inches 43-45 naweza kupata kampuni gani kati ya aborder, Panasonic, TCV au Samsung. Naombeni msaada kwa...
1 Reactions
30 Replies
8K Views
Wadau napenda kuwatangazia kuwa Sasa bei zetu ni karibu na bure kabisa, na hii ni kwa ajili ya msimamu huu wa sikuu.Huduma zetu ni kama ifuatavyo 1. Website designing 2.Forums and Ecommerce...
2 Reactions
47 Replies
4K Views
Heshima kwenu wakuu, Naombeni ushauri, ni simu gani ya Samsung Note series ni nzuri kwa matumizi hasa hasa ukizingatia uwezo wa betri pamoja na RAM. Kuna mtu kaniambia nichukue Samsung Galaxy...
1 Reactions
73 Replies
19K Views
Kati pita pita zangu mikoa tofauti nimeshakutana na magari katha ya mebeba hicho kifaa mfano Arusha, mwanza, Kilimanjaro . Wakuu kama kuna mtu mwenye uelewa naomba atupe maelezo. A) jina la hicho...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Tanzania ni nchi moja ya ajabu ambo watu wake wengi ni wabinafsi kupita maelezo, mwanzoni walimbeza sana Fernandez na hii naongea kwa experience Kuna ambao niliwauliza kuhusu Nala na Fernandez...
20 Reactions
63 Replies
5K Views
Habari za leo wadau, Nombeni msaada kwenye hili, nina invetor watt 150, battery (sundar N18) na panel sundar watt 30 na nimetumia waya wa 1.5mm kutokea kwenye sollar panel kuleta umeme kwenye...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Lain za TTCL Mpya zina PIN code Kila ukiwasha simu lazima uweke, haya nimeweka laini kwenye Modem, it is locked, where do I insert zile PIN Sasa?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mtu tajiri zaidi duniani bwana Elon Musk amempatia ofa ya $5000 kijana Jack Sweeney ili aiondoe program inayofuatilia safari zote za ndege yake binafsi na kuziweka hadharani kwenye ukurasa wa...
10 Reactions
34 Replies
3K Views
Yaani nataka kufunga dish langu kwa mfano la Azam au Startimes au Zuku ila naweka ile l.n.b bila lile lisahani lake je nikiunganisha hivyo nikaenda kuwasha TV yangu itaonyesha picha?
2 Reactions
70 Replies
4K Views
Habari ya leo wakuu, samahani Nahitaji kununua Laptop kwa ajili ya matumizi Katika shughuli zangu Kazi nnazo hitaji kuzifanya zaidi ni kuandika vitabu, kutengeneza matangazo, posters n.k...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
1.Windows 2.Tally 3.Excel
0 Reactions
5 Replies
752 Views
Jaman Naombeni kufahamu ISP gani Hapa Tanzania yupo vizuri kwenye huduma ya Internet services na Emails? Me binafsi Niliwatumia SimbaNet Siwaelewi vizuri Nataka kuwapiga chini na kutafuta wengine...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Wasalaam, Niende moja kwa moja kwenye mada husika. Miaka ya nyuma kidogo niliwahi kutumia Nokia Fulani hv siikumbuki ni model gani lakini ilikuwa ni ya button. Simu ile ilikuwa na uwezo katika...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wakuu, Mwaka juzi nilikuwa nina line ya tigo. Cha kushangaza ilikuwa inanifanya naperuzi kwa browser ya UC mini na opera bure kabisa pasipo mb. Yaani nilikuwa nagoogle kisha nadownload...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Elon Musk alimfuata DM dogo wa miaka 19 twitter ambaye ametengeneza bot yenye jina la ElonJet na bots nyingine zinazofuatilia location za matajiri. Alimuuliza hizo bot zinamwingizia kiasi gani...
12 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom