Primo imepigwa pini na 2ndline, naomba msaada wowote wa namna ya kupata number fake ya whatsapp wababe ambayo itakuwa free and easy kutokana na weird whatsapp restrictions.
YouTube pamenishinda...
Naombeni msaada jamani wataalamu.nataka kufungua ofisi ya kutengeneza simu.je ni kitu kipi kinahitajika ili niweze kuflash simu za aina zote?je hata nikinunua box moja tu ya universal inatosha...
Salaam wadau...
Kutokana na ukosefu wa ajira kwa vijana hasa wahitimu wa kutoka vyuoni, nimeamua kujiajiri wakati nasubiri matokeo ya maombi ya kazi niliyotuma. Kuliko kupoteza muda kwa...
Jaman ndugu zangu waTanzania na wataalamu wa technology naomba msaada juu ya hii app navyosikia unaweza tumia unlimited data kuperuzi internet, for free, tatizo ni kujua set up tuu,
MSAADA WENU...
Wakuu nina mpango wa kuvuta LED norma TV 43” katika brand za China hizo. Ipi kati ya Tcl, Star X, Mr UK, Bruhm ni nzuri katika ubora wa picha na vitu vidogo vidogo vingine.
Kama ni samsung, LG...
Habari zenu wakuu,
Mi natumia simu ya tecno, siku za karubuni imeleta shida kidogo, ukiingia Facebook simu inajizima na kujiwasha yenyewe,,
Na sio mimi tuu kuna jamaa nafanya nae kazi nae...
Wakuu,
Yoyote anayejua site nitakayo weza kujifunza SEO bila kulipia naomba anijuze.
Natumia YouTube lakini nataka niongeze nyama nyama kupitia sites nyingine.
Nawasilisha.
Ni Samsung 65” smart tv Curved
Ina mwezi 1 tangu ifike nilinunua China direct
Sasa juzi nikiwa naangalia mpira ghafla picha ikatoka nusu screen, kama dakika 5 hivi ikawa inabadili rangi, hatimae...
Habari mafundi!
Kama kuna mtu anaweza akanipa nafasi niwe weekend jmosi na jpili nakuja ofisini kwake ananifundisha vitu basic vya ku repair simu tuwasiliane. Maana nimechoka kila siku kupeleka...
Wakuu habari zenu,ni matumaini yangu mnaendelea vizuru Mungu atupe uzime hili janga lipite
Nina simu yangu ya Samsung Galaxy S7 edge imepasuka kioo Kam kun mtu yeyote anayeweza nisaidia kupata...
Nimepeleka kwa mtu ana ofisi yake anisaidie kubadili window kutoka windows 7 kwenda windows 10.
Bahati mbaya nimepoteza asilimia 50 ya document zangu na nyingine ni muhimu sana.
Hata...
Wakuu habari, Natumia pc ya miaka ya nyuma hivi, ni Lenovo T420 Core i5, Ram 4GB HDD 320 Graphic card 3000
Nimedownload software ya Blender ila inakataa ku-run inaniambia graphic card haikudhi...
Tatizo lipo hivi nilijaribu kutumia codes hizi kwenye line zangu za tgo na voda madhara yake ni kwamba sipokei sms kabisa ila naweza mtumia mtu... nia masaa kumi toka nibonyeze hizi codes...
Kuna app moja niliiwekea lock kwa kutumia pattern
Sasa pattern yenyewe nimeisahau hivyo app haifunguki hata nikitumia pattern ya kufungulia simu lakini wapi!
Msaada wakuu nifanyeje
Samahan kwa usumbufu wakuu naomba kujuzwa maana ya maneno haya rangi nyekundu yanayosomeka "Custom Binary bloked by FRP Lock" hii ni simu ambayo kuna mtu anataka kuinunua sasa kaja anataka...
Salaam vijana wangu.
Nilikuwa nahitaji kufahamu kama kuna kifaa au ujuzi wowote ule wa kutumia ili niwezekutumia laptop nikiwa katika gari, yaani mfano kama ninavyotumia smartphone katika gari...
Wakuu habari, Kuna mtu anaejua mahali naweza pata fundi mzr wa sound bar, asiwe magumashi nina soumdbar yangu Aina ya Phillips imekufa power supply.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.