Wakuu salamu.
Naomba kuuliza, hivi kuna uwezekano wa ku-download series za kikorea ambazo zipo kwenye one folder.
Yaani,badala ya ku-download episode moja moja mpaka ziishe.Hakuna namna ambayo...
Wakuu hivi leo Tweeter server zao zipo down au tatizo ni device nazotumia either kwenye connection(natumia voda internet) au device zenyewe? maana nikifungua kwa laptop haifunguki na kwa simu pia...
nina PC ni Advent ina tatizo la sauti ,kuna siku nilikuwa nacheki movie sauti sauti ilikata ghafla itabid nianze kutumia airphone .
nikawa nmetumia airphone kama mwez mmoja hiv lakin tatzo likaja...
Hey friend !!!! Thefreedom is hereeee.............
kama kawaida yangu ni kuwasaidia watu na kutoa angalizo kwa wale ndugu zangu ambao hawana uelewa na hacking + tech.
leo nitaongelea kitu kimoja...
1.Magic Plan
2. AUTOCAD
Nimejaribu kutafuta Cracked ila nimekosa maana mwisho naambia nilipie. Pia kama kuna mdau anaejua apk nyingine inayofanya hizo kazi anisaidie. Ni kwa ajili ya kujifunza tu...
Ifuatayo ni latest chati ya mitandao ya simu kuanzia yenye internet ya kasi zaidi mpka ile yenye slower connection mapaka WCDMA( excluding 4G)
Nilifanya karesearch kadogo tu na kwa kuwa nilikuwa...
Ni kwamba, mwaka 2017, timu ya Bootstrap ilifungua pull request kwa lengo la kuiondoa jQuery kwenye Bootstrap isiwe tegemeo kwa plugins mbalimbali kama ilivyokuwa hapo hawali kwenye version...
Habari!!
Nina Samsung Galaxy S6-Edge ya T-mobile ghafla tu ikanipa error kama inavyoonekana kwenye picha hapo chini.
Nikajaribu kugoogle hilo tatizo nikaona kuna kuiflash nikafanya inamaliza...
Habari wana JF leo nimeona ni vyema tukaelekezana/kujuzana/kuwekana sawa kuhusu Propeller ads media.Nimepata kuona watu wakiwa na maswali mengi licha ya kuwepo kwa nyuzi kadhaa kuhusu propeller...
Wakuu nina swali.
Simu yangu ni itel S11 siku hizi inaisha umeme haraka sana. Je, nikinunua betri yake mpya na kuichaji mpaka full, itakuwa imesaidia, yaani inaweza kukaa kwa muda mrefu kama ile...
Habari watalaam.
Najifunza Dart language au flutter kama wengi wanavyoiita kwa kupitia tutorials mbalimbali za youtube. Ila kusema ukweli nimekwama, sababu hata nikichukua mifano ile ile...
Hello bosses.
Nimepokea maombi ya watu mbalimbali wanaotaka kujifunza coding na nikaamua kutengeneza community site pamoja na forum special kwa ajili ya wote wanaotaka kujifunza coding au...
Hey Jamii.
Jamani kwa wanaojua mambo ya Website, niliamua kuanzisha site yanngu bila experience yeyote before,nimeleta kwenu kwa wenye weledi zaidi mnisaidie kupitia kwenye site yangu labda kuna...
Habari wadau.
Nina TV moja huko shambani imeleta tatizo kama inavyooneka pichani hapo chini. Fundi anapatika 28 km toka hapo shambani. Sasa naomba msaada kama kuna uwezekano wa kurekebisha mwenyewe.
Niaje wadau,
Natafuta mtu anayejua kupiga picha vzuri, kucheza na editing za picha. Na hata video.
Kama upo njoo PM tuzungumze tuone kama twaeza kushirikiana katk ABC.
huwe makin, sio...
Nahitaji kueleweshwa ni vitu gani hasa natakiwa kuwa navyo ili niweze kumiliki blog yangu na mtu yupi ni sahihi wa kunifungulia hiyo blog?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wananzengo,poleni na majukumu ya kujenga Tanzania ya viwanda.nenda direct to the point nimekuwa nikijaribu kwa muda mrefu kudownload movie za you tube ambazo kwa pc huwa kuanzia size...
Kabla ya kujua ubunifu wa leo unahusu nini;naomba nikuulize maswali yafuatayo.
JE? ulisha wahi kushuhudia:-
* Flat TV au TV ya kawaida wakati wa kuwasha au wakati unaangalia ghafla inaungua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.