Wakuu, sie wa dunia ya tatu maisha bila kucrack softwares yanakuwa magumu sana. Mwenye keys na codes au namna ya kucrack ESET NOD32 Antivirus Version 12 atusaidie jamani, naamini tutapona wengi...
Salam zikufikie gapo ulipo.
Naomba msaada huo, nataka kuchukua michoro kwenye mitihani (past papers) mbalimbali kwa ajili ya matumizi yangu (kuandaa pepa nyingne). Naweza kufanyaje?
Note...
Habari zenu wadau wa forum,
Nahitaji kuuliza kama kuna uwezekano wa kupata ruhusa maalum kutengeneza kinu kidogo cha nyuklia nyumbani kwa matumizi ya nishati ya umeme, malengo yangu yalikuwa...
Binafsi nilikua nahitaji kubadilisha Simu ila Nimezunguka DSM sijapata wengi wanauza zilizofunguliwa na zilizotumika . nimeenda iStore Mlimany City they are living in their world iPhone 7 Plus...
Habari za leo wanajamvi,
Kuna mchongo fulani hivi naifukuzia, nahitaji kujua kama kuna mtaalam yeyote (wewe au unayemfahamu) ambaye ana uzoefu wa kutengeneza electronic database ya shirika la afya...
Wakuu,
Zipo app nyingi tu za kuongeza followers, zingine kuongeza likes. Ila kwa bahati mbaya nyingi zinazingua. Je, ni app gani ya kwenye simu au hata software ya pc ambayo naweza kuitumia...
Huu ni kama ule mfumo wa kuscan bidhaa za supermarket na hapo hapo inatambua bei na kupiga hesabu.
Nna uhakika kuwa na kifaa pekeake haisaidii machine kufanya kazi.
swali. Au kila kifaa huwa na...
Website Yangu Imezuiliwa Kushare Facebook Pia Cjajua Sababu Zinazo Fanya Kuzuiliwa Kwa Website Hii Kwa Anae Jua Maswala Aya Anisaidie Ili
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kitu inaitwa WIN RAR au zip ni nini?
naomba mwenye uelewa anidadavulie maana nimeinstall biblia kwenye pc yangu sasa kuifungua imekuja kwenye mfumo wa zip hapo sasa sielewe kitu kabisaa...
Niende moja kwa Moja kwenye Mada. Nipo Dar naulizia wale wajuvi wa machimbo ya Laptop za Kazi kama za Rendering na Matumizi ya Graphics aje apa atuelekeze yanapo patikana na ikiwezekana na Bei...
Wakuu Nina flat screen yangu inch 34 haina muda mrefu inasumbua Sana kwa kutoa rangi zisizoeleweka na PIA imekata sauti.Naomba yeyote mwenye kujua tatizo Ni nini au anayemjua fundi mzuri WA tv...
Nataka niingie katika boot setup ya laptop yangu..lakini kila niikiwasha na ku press F2 au del ili niingie setup option hairespond chochote.nimejaribu kutumia keyboard ya nje napo holaa..nifanyaje...
Hili jukwa ndio kwanza napandisha uzi humu,
Naomba kuuliza hivi nawezaje kupata code namba inayoweza kunisaidia kupata menu katika simu za kawaida je inatengezwa au unaenda kuomba kwa makampuni...
Hi,
Kama kawaida ya jukwaa letu n kuelimishana mambo mbali mbali hivyo leo nmeandaa uzi huu maalum kwa wale wote wanaohitaji kufurahia ulimwengu wa rooting but wameshindwa either uoga wa kijinga...
habari wana JF,
Nikuwa nahitaji mnijuze namna ya kutengeneza mabango pamoja na maswala ya graphics design ni vitu gani niwenavyo na namna ya kuvitumia
ASANTE!
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza ni kuwa njia hii nilikutana nayo mtandaoni na nikaona si vibaya nika share na nyie kwa kuwa inawezekana kuna watu wanapenda kutumia vpn ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.