Habari wadau!
Kitambo tulipoteana baada ya mtandao wetu pendwa kutokuwepo hewani lakini sasa upo hewani
wakushukuriwa ni mungu kwa kurejea tena kama awali.
Ndugu zangu naomba msaada wa kupata...
Habari wakuu.
Nina karibia week now napata SMS kutoka namba 232 kama inabyojieleza katika picha hapo. Natumia mtandao wa Airtel. Nimeclear call forwarding na maengineyo kupitia ##002# lakini bado...
Huu ni mjadala utakaopendeza ikiwa wadau mbalimbali mtahusika katika kuufafanua.
Naomba usichoke utakapokuwa ukiulizwa swali baada ya kutoa jibu.
Hoja kwa hoja ushabiki pembeni.
Mambo ya...
Natumai ni wazima,
leo nakuja na swali nataka nijibiwe maana huku kwetu nimeona sana huduma hii nataka nitumie ila nasita kiukweli maana sijui ubora wake. Ni nini faida na hasara ya Liquid...
Nmenunua samsung s5 kwa mtu kwa bei ya 65 elfu tu. Ñimezoea tumia Tecno but nmekuja jua hii simu ipo more advanced though ni old ila feature zake ni zaidi ya tecno new released phones.
Hii simu...
Hello wanajamvi,
Natafuta PHP Developer wa kuteam naye muda mrefu. Lazima awe na portfolio inayoeleweka, na awe na angalau muda usiopungua masaa 15 kila wiki. Ni freelance agency.
Ukiwa na...
Wasaalamu wandugu!
Jamaa yangu kaniletea iPad sijui hata model haina WhatsApp. Nahangaika namna ya kuingiza yangu jana bado inanizingua.
Msaada wandugu nifanyeje ili niweke WhatsApp?
Habarini wana programmers..
Nina tutorials nilisoma kwenye w3schools nikadownload codeblocks kwa ajili ya kufanya practice, lakini tatizo ni kwamba ninapotaka ku-run code inazingua sasa sijui...
Napenda sana mambo ya kutengeneza programe na software. Kozi gani nisome na Chuo gani? Niko University (PCM A-level) ila nasomea ishu nyingine tofauti na hiyo.Ningependa kuanzia ngazi ya Diploma...
Habari zenu wapendwa? naombeni msaada nifanyaje natumia dishi la azam sasa hiki kipindi cha mvua napata shida sana chaneli hazishiki king'amuzi kinakatakata sana wakati mwingne haioneshi kabisa...
Habari zenu, nakumbana na tatizo la kulog-in kila nikitumia Jamii Forum App lakini nimekuja kugundua kuwa sijapokea password kwasababu wakati wa kufanya registration nilikosea kuandika e-mail...
Hi, wana jf,
Natumia HP brobook 430, corei3 lakini nimejaribu kutafuta icon ya bluetooth siioni, nimetafuta mpaka basi lakin nikitaka ku-send naiona option pia ya bluetooth ipo ila nikijaribu...
Evelyne I. Mbede from Tanzania receives the 2019 TWAS-C.N.R. Rao Award for Scientific Research for her significant contributions to Earth science and reduction of natural disasters.
Tanzanian...
Habari zenu
Nipo hapa ofisini nimekwama kuandaa document muhimu sana
Tafadhali kwa anayejua namna ya kutengeneza Multilevel list ya mtindo huu
Mfano
1. (a) ________________
(b)...
Kwa anae jua jinsi ya kuama kutoka blogger na kuamia wordpress na domain yangu ikiwa ile ile pia vitu nilivyo post kwenye blogger niame navyo msaada kwa anae jua swala ili domail nime nunua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.