Hua selewi kwann nikichomeka hdmi ili nicheze pes kwenye tv nikiweka full screen inagoma goma ila nikiweka window mode inakubali shida ni nini graphics au shida nini?
Wataalam mnijuze hapo
Sent...
No idea what has happened all electrics went off and when restarted computer the Dell start up page came up but then went straight to 'enter system password and press enter'. I have never seen...
Hakikisha umeziweka hizo app kwenye simu na kulipia kwa ulinzi wa simu yako usisubiri kupoteza simu na au kifaa chako ndio uanze kuhaha ,kinga ni bora kuliko tiba.
Sent using Jamii Forums...
kitu nilichokuwa na kitafuta leo leo nimekipata kiukweli nimefurahiii sana . kwa sababu lengo langu limetimia na imenichukua mda kuielewa hii program .
kikubwa nilichofanya ni kusikiliza wadau wa...
Friji Yangu ni mpya na ina kama miezi mitatu sasa, lakini shida Ni kwamba, kwa kawaida tumezoea kuna wakat friji ikishapoza inakata muungurumo kwa muda kisha inaanza tena baadae.
Shida ni setting...
kama unatumia samsung devices basi bila shaka una option ya kuweka themes tofauti kwenye simu yako.
Ila shida sasa,theme nyingi kali zinauzwa ,ikiwemo hii mpya sa samsung One Ui
Hii one UI ni...
Wadau naombeni msaada nina simu yangu hapa HTC nimeagiza Marekani ilikua inatumia mtandao wa verizon. Simu hii wameifunga haiwezi kufanya teethering ya usb wala kutengeneza wifi hotspot wakati...
Mwaka 2017 Apple iliwaomba radhi wateja wake wanaomiliki Iphone 7 na matoleo ya nyuma kwa kuzipunguzia kasi na ufanisi kwa makusudi ili tu watu wanunue matoleo mapya ya Iphone. Apple ilikuwa...
Wakuu habari zenu, mwez mmoja uliopita nilinunua tv 32'' kutoka jumia (online shopping) kwa kiasi cha 450000 mpaka moshi. Nilivutiwa kununua tv hii sababu jumia walidai ni original brand from...
Habari wana jf.
Kuna kero moja imejitokeza Katika simu yangu na leo ni Kama siku ya tatu hivi. Kero yenyewe ni hii Simu yangu imeanza tabia ya kuzima ghafla wakati naitumia. Hii kitu imekuwa...
Wadau, naomba kujua ikiwa nataka kuangalia Channel za DStv kupitia simu yangu nifanyeje?
Narejea kwenye Startimes naweza kuona channel kupitia app yao niliyodownload Play Store, nimedownload app...
Wakuu, nimezurura sana mtandaoni kupata Fl studio iliyo cracked. Naambulia kupata demo tu. Naombeni msaada wazee. Au hata muungwana mmoja akinipa Activation Key zake nitashukuru
Sent using Jamii...
Wajuzi nahitaji niweze kuangalia Tv kwa kupitia kompyuta but sijui ni apps gani naweza tumia kustream live channel za Tv mbalimbali za ndani na nje ya nchi.
Nahitaji zaidi channel zinazoonesha...
Kwa mnaotumia alama za vidole au sura kulinda data zenu, ni kweli hizo data zenu zipo salama?
Ukweli ni kwamba alama ya vidole (fingerprints) sio ulinzi sahihi kwa simu yako. Ni vyema kutumia...
Mahitaji:
1.winrar
katika hatiua zifuatazo hii ni mifano ya mafile tutayotumia ni picha tutayoweka kwenye desktop ina jina la jamii.jpg na compressed folder tutayotengeneza kwenye desktop itakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.