Salaam wakuu,
nilinunua hizi smart wristband model aina ya M4 ambazo ni hizi za kichina. Issue ni kufanya pairing na simu wakuu. Nimejaribu apps kama fit pro, lefun health etc. Lakini shida ipo...
Ndugu zangu nimerudi kwenu.
Hivi nikitaka kuwa nina upload video music za wasanii mbalimbali huko kwenye YouTube channel yangu. Je, ni source ipi ni nzuri kwa kuepuka copyright? Je, naweza toa...
Habari zenu wakuu, natumai nyote ni wazima wa afya. niende moja kwa moja kwenye mada ni hivi nimepanga ninunue moja ya mashine tajwa hapo juu sasa nipo njia panda sijui nichukue ipi kati ya ps4 na...
Wakuu msaada kwenye tuta nimenunua universal remote kwa ajili ya sub woofer sasa nimekwama kuiset iweze kufanya kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu,
Naomba kujua ukiwa unataka kucheki vipindi kwenye dstv now ukitaka kutumia cast ya kwenye simu ukaunganisha na tv unafanyaje?
kwa sababu nimejaribu inagoma ikifika kwenye kuonyesha...
Habari mimi ninayo application ambayo ina husisha ama ina hitaji malipo.
Hii application ni ya kuuza bidhaa Fulani nataka pale mteja anapo taka kununua mzigo aweke hela kwenye account yake then...
Kama ilivyo kwenye simu nyinginezo ambapo unaweza kuruhusu "network speed status bar" ili kuonesha speed ya internet pindi unapowasha data.
Je, hiyo haiwezekani kwenye Tecno Spark 3? Kama...
Wadau wa Tech naombeni msaada, kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema.
Aina ya Simu ni Samsung yenye Battery ya ndani.
Je, tatizo linaweza kuwa wapi? Ni Battery au simu nzima imekufa...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, mimi ni blogger ambaye nilikuwa natafuta traffic au kwa Kiswahili watazamaji wa blog yangu kwa kutumia Facebook, ila kutokana na hali kuwa ngumu...
Hello bosses.
Nina mambo kadhaa ya kushiriki na android developers
1)Kwenye projects zako mpya jitahidi kutumia data binding library kwa sababu itaondoa haja ya kuandika mara kwa mara...
Kuna programming language nyingne ni bora uzitumie tu kuandika web Apps za kawaida sana na usije ukazitumia kufanyia projects za mahesabu makubwa makubwa otherwise a single 'human error' can cost...
Kwa wale wataalaam wa PYTHON PROGRAM tunawaombeni ushirikiano wenu hapa kwa ajili ya kujifunza na kupeana utaalamu.
Mie ndio kwanza najifunza ila haizuii kuweka THREAD ili wenye utaalamu...
Habari wataalamu wa jf , kuna site ninazoweza kuzitumia ku download firmwares za simu zote zikiwa kwenye mafaili at once bila kudownload firmware moja moja. kama site hizo zipo naomba msaada
Sent...
Nataka kuachana na cable hawa jamaa hapa Kahama(SSCN) wanaboa sana maana wanakata sana picha hata sioni maana tena ya kulipia elfu 10 kila mwezi.Napenda kufuatilia michezo hiyo ya...
Wakuu,
Naombeni ushauri vigezo vipi vya kuzingatia mtu unapotaka kununua friji nzuri? Pia vipi kuhusu makampuni mazuri ya friji ni yapi? Maana kuna Boss, Westpoint, Pinetech nk
Hope mko poa!
Poleni na majukumu ya kulijenga taifa.
Moja kwa moja kwenye mada.
Iko hivi leo wakati nawaza kuhusu kusumbua kwa internet ya Vodacom Tanzania kuna wazo lilinijia. Ila sijui kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.