Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wanajamvi? Hivi unawezaje kufata account katika mitandao mbali mbali hususani Instagram na jamii forum? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wadau naomba kujua ni deki gani ya tv au kifaa gani kinaweza kusoma folder za video aina zote hasa MKV na kuplay through tv maana tv yangu haiwezi kuplay hizo video.. karibuni kwa msaada!
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu naomba kuuliza hizi kitu(html,css,javascript & phython) mtu akitaka kuzisoma si chini ya muda gani atatumia kuzimaliza zote na ni njia gani nzuri anaweza itumia kuzisoma iwe hata ni ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Yaani nimekuwa nikifatilia sana ili jambo maana nao wazetu wa nje wanasema wanatoa..
0 Reactions
81 Replies
13K Views
Salaam, Tofauti na apps nyingine, dstv app for mobile devices iko poa sana. Kwanza UI iko fresh sana and friendly, contents za kutosha na hakuna ile mambo ya kustack-stack hovyo. Kwakweli nawapa...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Nina switch, router, UTP cable, na vifaa vyote nahitaji computer ziweze kuwasiliana aidha kushare data nk. Nini natakiwa nifanye ili computer zote ziwe katika work group moja? Ni computer 24...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Habari zenu, Je, website gani naweza kutengeneza site na blogu bure au kwa gharama nafuu ambazo zinawea kupatikana kwenye google search. Yaani niki-search Google niweze kuiona website au blogu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Swali langu ni hili wakuu: Naweza kuweka Android mpya version iliyotoka kwenye simu ya Android 7.0 mfano tecno wx4 na kadhalika? Na je, system ya simu yako ikiwa inataka ufanye update update...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
Watu wengi hawajui kusolve baadhi ya matatizo baada ya kuunda website. Pili: Watu hawajui ni nani atakayewafanyia kazi nzuri ya website. Sasa katika Uzi huu nitajibu maswali yote na changamoto...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Wazungu wana vituko vyao, ati leo wao ndio wanautangazia ulimwengu kuwa wamegundua mamalia mpya. Hivi haka kamnyama hakuna aliyewahi kukaona huko Tanzania?
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Msaada wa ni hatua zipi naweza fanya zaidi ili nimpata mwizi wangu. Tarehe 7/12/2019 niliibiwa simu pamoja na fedha, nikapeleka polisi taarifa, nikaandikiwa loss report, nikaenda kwa mtandao wa...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
Habarini ndugu, Kama kichwa cha habari appo juu kinavyojieleza, nlikuwa naomba msaada najua humu Kuna wabobezi wa mambo mbalimbali. Nmejiunga freelancer.com ili nitafute kazi Sasa nilipata kazi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Simu yangu aina ya Tecno pop1 imezima kuna fundi kaicheki kasema inatakiwa iflashiwe je kuflash ni sh ngapi? Je, inaweza kusolve tatizo?
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Wakuu habari aisee nimepata ka PS 4 ka kunifariji kidogo na hizi stress sasa changamoto ni bei ya kununua CD za games kwa kweli ni gharama kwangu. Naomba msaada wa website nayoweza kudownload...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kwa wale die hard tech fans lazima mtakua na ndoto za kumiliki computer ya aina flan na specs flani,either unapambana kutimiza ndoto yako kama mimi au umetulia unatamani unasubir miujiza itokee...
2 Reactions
15 Replies
4K Views
Wakuu habari zenu, Hivi mtu ukiwa na viakiba vyako vya kuunga unga benki. Kwanza natamani kujua Benki kuna usalama kiasi gani dhidi ya wezi wa kisasa wanaotumia teknolojia? Pia nijihadhari na...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Moja ya vitu vinavyonipotezea muda kwenye simu ni pamoja na kuchapa sms. Natumia muda mwingi kufanya editing kuweka maneno ya kiswahili baada ya simu kuweka maneno yake. Mimi naandika...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Wakuu habari za muda huu, kama kichwa kinavyojieleza hapo juu naomba kuelekezwa kuset screen picha, video na maandishi yaonekane standard. Kwa sasa vinaonekana kama vimebend hivi kushoto na kulia...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Nimeinstall Polaris Office kwenye PC yangu, lakini shida imekuja kwenye kufungua Document inanihitaji niweke license key. So kwa anayefahamu hiyo license key wapi naweza kupata naomba anisaidie.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wale wajuzi eti kuna kifaa ambacho kinaweza kudivert umeme kila mpangaji akawa anatumia umeme wake na ukakata kivyake tofauti na kuweka luku?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom