Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Float switch ni switch inayotumia umeme inayofungwa ndani ya tank la maji ili kuzima na kuwasha pump pale maji yanapopungua ndani ya tank. Yaani ufanyaji wake wa kazi ni kuwa maji yakijaa kwenye...
1 Reactions
16 Replies
5K Views
wakuu naoamba msaada wenu juu ya hii kitu sababu mm nimezowea kuwa nikikutana sehem inahitaji zip/postal code huwa naandika +255 au 0255 na mchezo unakuwa umekwisha lakini kuna softwere hapa...
0 Reactions
21 Replies
31K Views
Wakuu natumaini ni wazima wote. Flash yangu ilianguka ikiwa kwenye DVD player hivo kupelekea kutokusoma. Naomba anayeweza kunirekebishia tuwasiliane.
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Umeme ni nini? Umeme ni mtiririko wa electrons,ndani ya conductor(kipitisho mfano waya). Kuna aina mbili za umeme 1.Umeme wa mkondo geu (Alternating Current) au AC Ni umeme ambao mtiririko wake...
5 Reactions
15 Replies
8K Views
Habari Zenu Wakuu humu Ndani.. Naomba Msaada wa kufahamishwa jinsi ya kufungua Account ya bank online nina ID ya Taifa niko nje ya inchi ila sijafahamu namna ya kufungualia account...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu, nimezoea kuzisikia crack za apps nyingi sana.. Vipi kuhusu thl app..! Kuna ambaye alishaweza kuicrack?
0 Reactions
50 Replies
7K Views
Ni app gan nzuri ya kusikiliza online radio za Tanzania Najaribu Tunein inafail baadhi ya Radio. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari za leo ndugu zangu. Poleni kwa majukumu ya kila siku, naimani mungu yu pamoja nasi katika mihangaiko ya kila siku na kutupatia riziki sisi sote. Ndugu zangu naomba kufahamishwa kuhusu...
0 Reactions
23 Replies
8K Views
Msaada wakuu namna ya kuondoa hiyo indicator Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Salam wakuu, Nilikuwa natafuta shirika la software development linalo patikana Mwanza. Ambapo naweza fanyia field, so kama unamiliki kampuni au unafaham kampuni ambapo naweza fanyia field...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimefikiria kuhusu hiyo reli ya tren iendayo kasi wanayeweka ya kutumia umeme lakini nimeshindwa kujua huo umeme utakuwa huko kwenye reli yenyewe au ni kwenye tren tuu. Na kama ni kwenye reli...
2 Reactions
40 Replies
7K Views
Mada juu inajieleza naomba mnisaidie flash yangu yenye document muhimu inagoma kufunguka inadai iformatiwe. Sasa Kuna njia mbadala ya kupata nyaraka zangu muhimu
0 Reactions
2 Replies
882 Views
Can I send my photos from my iPhone to my PC with shareit?
0 Reactions
1 Replies
673 Views
Hivi sehemu ambayo kumefungwa feni liwe panga boy au kata kiuno (ciling fan) mimi nikatoa hapo lile feni nikaacha ile regulator zile wire za feni nikafunga hapo streight holder na kupachika hapo...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Jamani naombeni msaada, Laptop ninayotumia nikiiwasha sehemu ya kuweka password haiwezi ku 'input' character zozote, kwahiyo siwezi kuingia na kuitumia. Tatizo hili limeanza leo muda wa saa 12...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari za jumatatu wakuu, Nina mpango wa kununua simu ya HTC baada ya Samsung J7 yangu kupotea. Lakini sina uzoefu kabisa juu ya ubora wa hizi simu na na hata jinsi zinavoendesha application zake...
2 Reactions
32 Replies
9K Views
Habari zenu wakuu, nina blog ambayo ina subdomain ya blogspot, ningependa kuweka top domain ili niweze kuweka adsense. Tatizo sijui chochote kuhusu mambo yafwatayo na ningependa kujulishwa: 1.web...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naomba kuuliza hivi ukisave namba ya simu yoyote katika laini ya mtandao wowote, je kampuni husika ina uwezo wa kufahamu idadi ya namba zilizohifadhiwa katika laini? Karibu.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari ..kama kichwa cha habari kinavyojieleza Sitaji bei ila mwenye bei itakayomzidi mwingine ndo ataichukua simu...iko katika hali nzuri. Specs Processor 1.3Ghz RAM 1GB Internal Storage...
1 Reactions
49 Replies
3K Views
Ina tatizo la kuchemka sana.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom