Habari zenu wakuu
Kama kichwa kinavyosema, hivi hizi Cache na Cookies ni nini na zina kazi gani kwnye simu?
Pia kwanini wameweka hizi Cache na Cookies inakuaje mfano zisipokuwepo?
Nini...
Ofisini ni mwaka wa tatu sasa mkurugenzi aliagiza zifungwe Tv kama nne kwa ajili ya usalama, ambazo zitakuwa zikipokea matukio kutoka kwenye cctv cameras
Zikanunuliwa tv original kabisa 2 za...
Tafadhali watalaam kuna hii taatifa
January 14, 2020, is the date that the US firm has set for the big change and the advice for anyone using Windows 7 is to upgrade as soon as possible to avoid...
Hivi kunatatizo kuchaj simu hata kama haijaisha chaj mfano umeiweka chaj ikajaa then ukaitumia ikafika kama 64% then ukairidisha chaj tena kuna shida hapo je?
Hili linaweza ua betri?
Sent using...
Wakuu habari za muda huu. Nimeweka picha za specifications za hii Laptop. Naomba kujua, je Software zifuatazo zita-run kwenye hii pc.
Blender
Euro truck simulator 2
Adobe illustrator
Adobe...
Salaaam kwenu nyote,
Naamini hapa jf nitapata msaada wa kujulishwa kifurushi chenye mb/gb za kutosha maana mimi nimeshindwa napendelea vya mwezi au wiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu mambo vipi.
Leo nimekutana na hii software inaitwa jen-free video compressor.
Hii ni software ambayo hupunguza size au ukubwa wa video bila kupoteza quality. Kiukweli suala la MB hasa...
Habari wakuu, naomba msaada wenu, simu yangu aina ya Microsoft Lumia 640 nilifanya update kutoka Windows 8.1 kwenda Windows 10, baada ya hapo ikapoteza settings app hivyo inafanya mambo vitu vingi...
Habari zenu, naomba kufahamishwa gharama za kutengeneza website ambayo unaweza kufanya online payments za ndani pamoja na Visa & Master cards
Pia naomba kufahamishwa makampuni/watu kutoka hapa...
Nina Pc Lenovo i7, yenye Graphics Card ya 4 GB na Acer i5 yenye GB 2 za graphics Card ila nimebaki nashangaa nikaona ngoja niwacheck wataaamu wanisaidie.
Kifupi Preject ambayo nairender kwa...
Nimepata confusion kabisa kuhusu aina za database.
Kuna mwalimu alinifundisha two types of database: Flat file database and Relational database tu.
Sasa leo nimekutana na notes zina aina sita...
Ndg Naomba msaada kama kuna uwezekano Wa kutengeneza tatizo la kupata krack na kuwa na wino kwenye screen model no. GVA 32A1 kampuni ya soyi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuuu
Nimetumia illustrotor kwenye pc yangu kwa muda
Lakin ghafla imeanza kunidai key.
Kwa kuonesha kuwa natumia tryor na imebakia 28days.
Nafanyaje..? Angali nimeanza kutumia kitambo...
Heshima kwenu wakuu !
Nipo kijiji fulani nyanda za juu kusini...natumia solar tangu Jan
Nilinunua betri mpya ya Sundar yenye ukubwa wa 12V 18 AH/ 20HRS na Panel ya Watt 20 nikawa natumia taa 1 na...
Hello guys habari zenu..... naombeni msaada kwa wenye utalaam wa namna ya kuweka nyimbo ktk i phone ili niweze ku-enjoy pia kwa kusikiliza music bila kustream kw internet....
Salaam wakuu,
Kama swali linavyojieleza hapo juu, naomba kujuzwa tafadhali kuhusu hili swala. Kwa uelewa wangu mdogo, nafahamu kwamba ili mtu awe verified ni lazima awe ni celebrity au mtu mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.