Nakumbuka hype ya iphone ilivyoanza kama kawaida yao Wamarekani wazuri sana kwa marketing na kudanganya watu, nakumbuka walianza na selfie kila Mwanasiasa kuanzia Obama mpka ma hollywood stars...
Naombeni msaada wa maelekezo. Nilikuwa nikitumia simu za Android muda mrefu sasa nimeona nihamie kwenye iPhone. Kutokana na kipato changu nimewaza kununua iPhone 6s Plus kwa hiyo naomba mliowahi...
Habarini wakuu! Natumaini kwema.
Nina Motorola z2 Force hapa imekwamakwenye bootloop yaani inawaka then inaishia kwenye Logo ya Motorola, nimefanya utafiti nimegundua solution ni kuinstall/flash...
Wakuu kwema, naomba mwenye kujua jinsi ya kubadili au kuweka option ya kuplay video hapa JamiiForums anisaidie. Mimi nikifungua inafungua kwa kutumia JF tu. Nataka niwe nafungulia browser nyingine...
Habari wana jamvi la technojia,
Nina pc yangu aina ya dell, juzi nilikuwa natumia ghafla tu ikazima na kila nikiiwasha inawaka then inaonyesha alama hyo ya taa then inazima je shida ni nini...
Wakuu naamin mpo fresh kabisa..
Bila kupoteza mda,last wiki kuna vibaka walikuja kuiba ,walifanikiwa kuiba vitu mbali mbali vya thaman.
Sasa katika kuiba kwao wakaiba na simu ya dogo ilikua...
nilikuwa na kasimu kangu nmekupata juzi tu. sasa cha kushangaza kuna wale wahuni wa bodaboda wakanikwapua. simu yenywe ni iphone7 plus, nmejaribu kutumia find my iphone bila mafanikio maana sio...
Nimekumbana na tatizo la mfumo wa Google kugomea kadi zote ninazozitumia, nimejaribu Mastercard prepaid/credit/debit zote hazikubaliwi, nimeomba hata za marafiki lakini wapi, imenibidi nianze...
Kwanza kabisa kabla sijaendelea na maada nawashauri wavivu mnaopenda kupumzika sana hii njia haiwafai , nunueni bando muendelee kupost status za success
Youtube wana mfumo wa...
Wataalam mje kutoa msaada hapa.
Simu yangu Samsung S6 Edge imegoma kudisplay yaani ipo on lakini kioo kinaonyesha giza. ukipiga inaita kama kawaida tatizo ni nini na suluhisho ni lipi...
Habari! Samahan naomba msaada kwa mwenye ujuzi wa meter ya luku nimejaribu kuweka umeme nabonyeza namba hazifanyi kazi. Msaada tafadhali nifanyaje nisilale giza.
Step1 - Select a windows key for whatever version of windows you are running.
Home: TX9XD-98N7V-6WMQ6-BX7FG-H8Q99
Home N: 3KHY7-WNT83-DGQKR-F7HPR-844BM
Home Single Language...
Habarini wakuu,poleni kwa majukumu ya kila siku.
Kama topic inavyojinadi hapo juu,,nilichomeka flash drive ili kuinstall game kwenye PC ya ndugu yangu. Baada ya hapo mafaili yote, nyimbo pamoja na...
Unaweza kutucheki, lakini pia kwa system za shule, hotel na hospital. Radio Stream na IT support. Tuna uzoefu wa miaka mitano sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.