Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
ANDROID LOVERS TUKUTANE HAPA Wazee wa kazi niaje, nimekutana leo na hii program aseee kiukwelii nimeshangaaa sana. Hii ni software ambayo kazi yake kubwa ni kumanage IMEI namba, modify, hata ku...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba Msaada Kuweka Ads Kwenye Blogger Kama Ilivyo Kwenye Iyo Picha Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Software za Ubuntu na linux zina tofaut gani na ipi ipo vizuri zaidi ya nyenzie?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wa kubwa Samahan naomba msaada jns ya kufix tatizo la chats backup Iko iv na choose email ya Google drive but WhatsApp ina nambia can't find my account Niki place ok ina fanya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimewasha laptop yangu ikawaka vizuri, ila inaonesha rangi ya bluu kioo chote, nashindwa Cha kufanya. Tatizo ni nini? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Piga picha yoyote wakati size ya picha kwenye camera umeweka 5mp n.k mbali na Ile size iliyoko kwenye camera by default Kisha compare na picha uliyopiga ikiwa na default size. Default size...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Salam wakuu, Direct kwenye mada, zamani nilikua natumia Jumia food app ambayo nilikua naweza kuangalia nearby restaurant na nika order nikitakacho na nikawa naletewa hadi home without any...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Nilikuwa natumia mood lkn inachelewa kufunguka inaweza kaa sek 5 hadi 10. Nipo kwenye Textra ipo Fasta sana ila haina features nzuri kama mood. Ipi nzuri kwako? Mood niliipenda kwa haya. -ina...
0 Reactions
57 Replies
9K Views
Kila nikitaka kufungua App baada ya Installation inagoma kufunguka mwenye kujua tatizo hili kama kuna mwingine tusaidiane Nina Tecno C 8 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wakuu heri ya Christmas! Naamini wengi wetu tumeshatumia hii App ya Google Map Mara kadhaa katika kujua ilipo sehemu fulani tusiyoijua au Jengo Fulani kama hoteli ,hospitali nakadhalika. Kwa...
3 Reactions
38 Replies
5K Views
A US man has sold the domain name pizza.com for $2.6m (£1.3m) - after maintaining the site for just $20 a year since 1994. Chris Clark, 43, accepted the offer from an anonymous bidder after a...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wasalaam Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Nahitaji batter ya hii pc hapa inayoweza kukaa na charge angalau masaa 5. Nakaribisha offer. Itapendeza ikiwa battery mpya.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu, Nina machine ya EFD incotex133 amekuja mteja nikataka kumtolea risiti nimefanya transaction zote lakini haitoi risiti nimejaribu mara mbili lakini imegoma. Sasa itakuwa...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Wakuu husika na heading hapo juu, kila IDM nadownload inaleta shida. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kumekuwa na ongezeko la watu ku-adiana au kuingizwa katika magrupu ya WhatsApp, wakati mwingine wanaofanya hivi hata huwajui na utalazimika kusubiri maelekezo. Ili kukabiliana na hilo kuna namna...
5 Reactions
2 Replies
2K Views
...
0 Reactions
7 Replies
979 Views
kwa mwenye ushauri juu ya hili tatizo wakuu,natumia Tecno c7
0 Reactions
19 Replies
7K Views
.....na copy na ku paste words, lakini imekataa ku copy wala ku paste words toka kwenye picha. Yaani inakuwa km ina copy picture yote badala ya ku copy words peke yake, maana Mimi nina shida na...
1 Reactions
38 Replies
5K Views
Mimi ni mteja wa AZAM TV sasa ni mwezi wa pili. Sina uhakika kama tatizo ninalolipata linawapata wateja wengine wa AZAM TV. Suala ni kwamba mvua ikinyesha kidogo tu basi ianakatakata na wakati...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Hivi karibuni WhatsApp itasitisha programu yake kwa mamilioni ya simu baada ya kutangaza kwamba programu hiyo itaacha kufanya kazi katika simu za zamani. Kampuni hiyo inayomilikiwa na Facebook...
2 Reactions
30 Replies
5K Views
Back
Top Bottom