Habari,
Nilijaribu kuomba kuhusu kufuta apple id yangu, lakini nilifanya kosa (nilitakiwa kusaini out kwanza katika Iphone yangu kabla ya kuifuta) kwa hivyo sasa kila nikijarb ku sign out...
Nimeletewa samsung J3 pro kutoka China.
Sasa shida yake battery inajizima bila kufika 0%. Wala haifiki kwenye 15% kuonesha battery low.
.
Naweza kutumia kutoka 100% halafu ikazima kwenye 35%...
Moja kwa moja kwenye mada, naombeni kupata ufafanuzi mgogoro wa Huawei na Apple kuhusu tishio la kuondolewa uwezo wa kutumia Google kwenye simu za Huawei uliishaje maana nahitaji kununua simu ya...
Habarini za usiku wakuu,ninahitaji kujua je hizi simu ambazo zina network lock au carrier lock zinatolewa vipi? na bei gani kutoa hiyo lock? na zipo njia za aina ngapi? na je njia hizo ni 100%...
HONGERENI KWA KUKUTANA TENA 2020,
kuna simu mbili n used ila sio sana kwa laki tatu ipi nichukue kati wa SAMSUNG GALAXY S6EDGE+ YENYE 2RAM NA 32ROM HALAFU IPHONE 6S PLAIN YENYE 2RAM NA 64ROM...
Wakuu habari,
Hii simu ni wiki sasa inasumbua touch lakini ukitumia S-Pen inatouch vizuri kabisa.
Mwenye kuelewa anisaidie kama ni ishu za software ama hardware maana nmeshindwa kuelewa...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kama kuna developer au mtu anayeweza kunipa mawasiliano na developers wa Android na Apple Applications naomba tuwasiliane tafadhali.
Nadhani mawasialiano...
Habari ndugu,
jina Nicodemus mollel
makazi Arusha Tanzania
maombi yangu nimesoma information technology(IT),ngazi ya cheti nimebase upande wa TECHNICIAN
Natafuta kazi ya IT au yoyote inayohusiana...
habari wataalamu,
Nina changamoto moja, kuna server ipo remotely nahitaji kulogini account ninayo ila wame disable remote connection hivyo siwezi tumia remote desktop ku connect ni window server...
Habari zenu ndugu.
Naomba msaada wenu kuhusu ishu ya sauti kwenye Laptop yangu.
Kuna siku nilimuachia dogo laptop sasa akajaribu kuconnect sauti isikike kwenye Subwoofer, alipounganisha ikatoa...
Whatsaap ghafla iliniandikia hivi:
"You phone number has no longer registered on Whatsapp" nikiverfy nakuta nishaambiwa nipo banned yaani hii ni namba ya 4 fasta fasta.
Hakuna kibaya chochote...
Kheri ya Krismasi na mwaka mpya wakuu.
Baadhi ya simu za Android zimekuwa zikija na Internal Memory ndogo kiasi ambacho inahitaji kununua SD card (Memory Card) ili kuweza kuongeza space lakini...
Wakuu umofia kwenu!
Nilikuwa najaribu kwa mara ya kwanza kununua bidhaa ali express kwa kutumia m pesa master card lakini nafeli.
Nikiweka card namba na tarehe ya kujaza naambiwa "we dont accept...
Wakati ukivinjari kwenye mtandao wa inteneti unapotembelea tovuti mbalimbali au #MitandaoYaijamii unapaswa kuwa mwangalifu na kutunza usalama wako dhidi ya watu wenye nia ovu: Kumbuka mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.