Habari,
Kama Kichwa cha habari kinavyosea, naomba msaada kwenye mambo yafuatayo;
1. Namna ya kutuma meseji kutoka kwenye email ikaingia/ikaenda kwenye namba ya simu ya kawaida. Mfano kutoka...
Kila nikijaribu kuinstall inaload sekunde chache halafu process inashindikana simu inarudi kawaida
Je, tatizo ni kwangu tu?au simu yangu.ndogo tecno C8?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtandao uliokuwa maarufu duniani kote Vine umefanya mabadiliko na sasa utatambulika kama Byte.
Vine kwa miaka kadhaa ilisimama imara kabla ya kupigwa vikumbo na magwiji Instagram, Snapchat na...
Habarini za kuamka members wa jf nina card ya bank ya NMB MASTERCARD na iko verified kufanya online purchase na nishaijarb mara kadhaa cha ajabu PayPal hawaitaki kila nikijarbu ku link...
Habari za muda huu, nahitaji kufanya recovery katika computer ambayo ina window mpya na file nalo kuhitaji lilikuwa katika window ya zamani ambayo niliiformat nitumie njia gani ili niweze...
Habari Jamii yangu ya humu ndani.
Nasikitika sana baada ya masaa kadhaa kupita ndio napata notification kwamba kuna mtu/kikundi cha watu wameweza kuingia kwenye account yangu ya twitter na...
Mimi wakati wa kuseti dishi huwa natumia receiver lakini kuna hako kakifaa nimepata sijui kama katanisaidia maana sijawahi kukatumia. Hivyo naomba aliyewahi kukatumia anisaidie kujua kama katakuwa...
Nimekuwa offline toka mwezi June kwenye Akaunti yangu ya Whatassap ila leo nataka Kurudisha Akaunti yangu tena, Je zile Sms nilizotumiwa tangu nikiwa Offline nitazipata?.
Nashukuru.
Heshima na iwe kwako mwanajamiiforums, naomba unipe mawili matatu kuhusu huduma hii ya Bixby inayopatikana kwenye baadhi ya simu za Samsung maana ninayo kwenye simu yangu ila sijui matumizi yake...
Wakuu Nina wazo kuanzisha website/App inayohusu kilimo na mifugo itakayopatikana kwa lugha ya Kiswahili Kiingereza, Kisukuma, Kichaga na nyinginezo kwa kuanzia nitaanza na lugha za makabila...
Nimenunua simu aina ya Samsung Galaxy tab A6, haishiki network yoyote lakini nilivoingia ndan kwenye setting - conection ile phone network hilo neno halipo kwenye simu.
Je inawezekana simu haina...
Cm yangu ni galaxy s 5 ninapotaka ku -Google ina-search lakni baada ya hapo inaandika web-page is not available ko nataka kujua tatizo ni nini @chiefmkwawa
Habari zenu wana JF, nina tatizo linaniumiza kichwa sana na hadi leo hii bado tatizo lipo. nina mashine ya copy ni CANON:IR.2206 imegoma kutenda kazi. Kwenye display inajiandika error halafu...
Niliomba mara ya kwanza wakanitolea nje eti nina reused content, nikafuta baadhi ya video wakanipa muda wa kuomba 17th mwezi huu, imefika nikaomba tena ndo nasikilizia hapa.
Nipe uzoefu ilikuwaje...
Huduma zetu ni kama: Hotel Management System, School Management System, Hospital na Radio Stream Hosting.
Pia tunatoa msaada wa IT
Kwakuwa sisi ni wageni hapa, tunaomba sapoti yenu wanaJ
Tupo...
Habari waungwana,
Simu yangu haikubali earphones. Nikichomeka earphones, speaker ya simu na earphones vinalia kwa pamoja halafu sauti inayotoka kwenye earphones ni very sharp ina mdundo mdogo...
Nimekuwa nikiona mara nyingi sana inapotokea kurasa ya mtandao wa kijamii kama "Facebook" ya mtu ikawa na kitu chenye taharuki, wahusika hukimbilia kusema wamedukuliwa.
Huwa napata kigugumizi...
Hii ndio husemwa kuwa Dadavuzi mpakato ya kwanza duniani, Grid Compass (clamshell laptop) ambayo iliundwa mwaka 1979 na William Moggridge, kwa ajili ya Grid System Corporation ya Marekani. Ilianza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.