Heri ya krismasaa wakuu,
nilikuwa na wazo la kuanzisha hii biashara ya kuwekea wati liquid protector.
Sasa wakuu nilikuwa naomba kwa aliye na uzoefu nayo kwanzia gharama ya mtaji nayohitajila...
Mara nyingi huwa nikinunua laptop mpya hasa online ikaja na Windows huwa inakuwa ina perform fast na smooth ila ikitokea nikapiga Windows chini basi huwa nina note kuwa nilicho install kinaifanya...
Je una website iliopo offline? na unataka kuiweka kwenye intenet? pata msaada wako hapo WA BURE pia kwa wanaojua mnaweza kuchangia na kunikosoa!.
Kwa mtazamo wangu naona kuna njia mbili kuuu...
Natafuta fundi wa mageneretar makubwa kama Cumins, CAT, FG wilson au Perkins
Awe mtaalamu wa Control panel na autonation
Njoo PM
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mada inavyojieleza Naomba kujua zile waya zinazotumiwa kwenye internal mobile phone microphone ni AWG ngapi? Nina shida nazo sana na pia nataka kuzijua. Maana nazihitaji nisije nikaletewa...
Kuanzia 2022 na 2024 baada ya kufika kwetu katika sayari ya Mars, tutaanza kwa kuishi katika makazi ya namna hii huku tukiitransform Mars kuwa nzuri zaidi.
Picha ikionesha majengo yaliyojengwa...
Wakuu habari,
Nauliza ni jinsi gani whatsapp inajiingizia pesa naona hawatumii matangazo kabisa, ingawa unaweza uka upgrade kwa 1 usd kwa mwaka kama wakilipia watu mil 100, jumla wanapata usd 100...
Wakuu uvumbuzi mkubwa kwenye teknolojia umeanza kuleta shida.
Robot wa kwanza duniani kupewa uraia wa nchi, bidada Sophia raia wa Saudia amesema na yeye anataka kuwa na familia yake, kuwa na ajira...
Wadau na wanajamii, heri ya mwaka mpya
Jamani kama kuna mwanajamvi anajua kuhusu Decorder hii naomba msaada:
1. Namna ya kufanya dish installation
2. Namna ya ku update
Nawasilisha.
Sent using...
Wataalam,
Naomba msaada nimejaribu kudownload muda mrefu nimekwama, naomba msaada wapi naweza kudownload software ya bure niweze kubadilisha nyimbo kwenye lap top ziwe kwa MP3 niingize kwenye...
habar mateknishan..baada ya kulazmishwa sana juz nmeanza kutumia hz cm infinix somehow zko vzur bt tatzo lake lko kwenye alarm..ndio alarm mara mbil nzma imenidanganya..nmeiset iniamshe mda flan...
Heshima kwenu wakuu.
Kama mada inavyojieleza hapo juu naomba kujua kama kuna App yoyote inayoweza kupunguza mwanga wa tochi kwenye ukawa aidha hafifu au wa wastani kiasi.
Najua kuna wataalam...
Habari za muda huu wana JF,
Naombeni msaada kidogo. Nahitaji kubadili jina la account yangu ila nimejaribu kupitia settings zote nimekosa.
Nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hey nina shida moja kuna rafiki yangu kaibiwa iphone 7
Je, mtu aliyeiba anao uwezo kutoa lock ile ya mbele na akaendelea kuitumia bila kutoa icloud
Na je simu ikiwa hajawasha internet ninao...
Ni support yenu ya hali na mali ndiyo inayohitajika kwa sasa wadau wa jukwaa la JF.
Maelezo:
1. Nenda kwenye google play store kisha andika WIFA kwa herufi kubwa
2. Bonyeza install ianze kuingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.