Habari zenu wakuu nahitaji kuirestore Galaxy Grand Prime+ ila sijaona pa kuanzia wala kumalizia msaada wenu tafadhalini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumai mu wazima wakuu na wikiendi.
Wakuu, ndugu yangu ana simu aina ya Tecno Spark K7. Shida yangu ni kwamba kwa muda mrefu hii some imekuwa utumiaji wake unakuwa too slow yaani unabonyeza app...
Habari wakuu, nina website ya ecommerce nimekwama mahali ninahitaji niwe naweka price ranges kutokana na quantity atakayo order mteja mfano wa hizi products.
Platform ya web yangu nilotumia ni...
Kampuni ya Samsung kushirikiana na Advanced Research Lab (Star Lab) wamefanikiwa kutengeneza watu wasioasilia ambao watakuwa wanafanana na binadamu katika maeneo mbalimbali ya miili yao kama sura...
Salaam wakuu
Msaada wa file au link ya unlocked firmware ya oxe begin 101 (simu za halotel) hizi,,zilizopo google rar zake wame zi encrypt
Au kama kuna njia nyingine ya kunlock network bila box...
Wakuu habari zenu natumai wote mkosalama,
Samahani wakuu Nina simu aina ya Tecno W5 kamera yake ya mbele inazingua inaweka ukungu haionyeshi vizur picha sasa nilikua naulizia kua kuna uwezekano...
Wakuu habar , Mimi Nina simu niliagizaga nje , sasa hii simu imekufa battery now , na battery zake ni zile non removable ... Ukiangalia gharama ya kuagiza battery ni expensive kuliko kununua simu...
wakuu
nimenunua simu nokia 1 mkoani. Sasa nimekuja kufanya factory reset then kuweka email yangu ikanambia "this phone was reset..enter the previous email"
sasa email hiyo iliyokuwa inatumika...
Habari za leo wakuu, naombeni kufahamu namna ya kusearch mada kwenye JamiiForums, yaani labda nakumbuka jina la topic humu halafu nataka niipate mnafanya vipi?
Shukrani.
Wataalamu wa haya mambo naomba mnisaidie. Memory card yangu inanionesha alama ya mshangao sehemu zote picha na video.
Nifanyeje kuvipata?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimepambana sana kupata wauzaji wa scania bus lakini nagonga mwamba, haswa ni kutokana na wauzaji wengi kuuza bus ama chasis zisizosupport system na miundo mbinu yetu, ikiwa system yetu ni left...
Mpaka nimegombana na watu kisa sijibu sms kumbe hazinifikii nikitumiwa,ndo tatizo kubwa la hii simu sa nashindwa cha kufanya wengine wanasema restart, nayo haijanisaidia nikabadili hata laini...
Habari za saa hizi ndugu zangu.
Leo nataka nishee nanyi jambo dogo tu.
Nimeanza kutumia smartphone zenye uwezo wa 3G kwa mda mrefu na labda niseme kwa muda wote nimekuwa nikitumia simu zenye...
Habari ya muda huu wanajukwaa,
Nina desktop yangu sasa ni kama mwezi hivi sijaitumia leo nimejaribu kuiwasha imegoma.
Nimesafisha motherboard ila haijawaka na fan haitaki kuspin.
Mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.