Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
For SALE EXTERNAL HARD DRIVE Model TRANCEND 1Tera(1000GB) mpya kasoro kava Haijawahi kufunguliwa Bei 120000/-
0 Reactions
6 Replies
902 Views
Simu yangu imebanduka kioo (smart phone) ni gundi gani nzuri naweza kuitumia ili kubandika kioo.
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Sioni wala siwezi Ku access Application ya Facebook kutisimu yangu. Tatizo nini? Imepotea tu yenyewe na hats application list za kwenye simu haipo! Tafadhali msaada kujua kwa nini and how
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Wandungu habari zenu natumaini nyote wazima, Nataka kununua proffesional camera lakini bado sijajua kampuni ipi kati ya hizo ina bidhaa bora achana na aina kwanza naomba msaada wa kiujumla ipi...
2 Reactions
67 Replies
19K Views
Habari wadau wa JF, Natumia Tecno L8 Plus, kuna siku nilireboot baada ya kuona line ya upande mmoja haisomi network. Tangu nireboot huwa inajiwasha yenyewe na kujizima. Inavyojiwasha huwa...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Wakuu kwa hapa Dar es salaam ni wapi kuna dealers wa hizi simu za Google Pixel? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu, Mimi naomba kujua namna ya kutengeneza application yoyote kisha kuiweka Google play. Nimejaribu lakini nimeshindwa. Ndipo nikakumbuka kuna majiniazi humu wanaweza. Ebu nisaidieni.
2 Reactions
21 Replies
20K Views
Mambo vipi, Mimi ni completely biginner, nataka nianze kula misuli ya online na YouTube kuhusu python. Target yangu ni Data science.. Tatizo linakuja nitaanzaje na nitamalizaje, ili ni full...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
hey guys .....wazima Thefreedom hapa naomba leo nimalizie kujibu ombi ambalo walionirequest niwasaidie kuweka uzi wenye full info kuhusu kufanya port forwading bila router na jinsi ya ku access...
3 Reactions
22 Replies
5K Views
Mambo vipi wadau nilitaka kujua ni program gani inatumika kuingiza data kwenye mashine za bvr je ni MS ACCESS au MS EXCELL ,
1 Reactions
33 Replies
12K Views
Wadau naomba kuuliza maswali mawili mwenye kujua anielekeze. 1. Wale wenye followers wengi Instagram hadi wanakuwa na tick ya blue hivi wanapata hela au inakuaje, yaanikiufupi wanapata faida gani...
1 Reactions
5 Replies
6K Views
Wakuu habari naomba msaada nimenunua simu redmi note 7 nikadownload dstv now meseji inayonipa ni kuwa my device is not certfied na uakienda play store kweli kuna hiyo kitu nafanyaje cc mwl rct...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu naomba msaada, laini ya Tigo haifungui data. Simu ni Samsung S8. Naomba wataalamu wa kucheza na setting mnisaidie.
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Ebana mambo vp wakuu, kulingana na mada tajwa hapo juu, wengi wanapenda sana kujifunza maswala mbalimbali ya nayohusu web programming kwa ujumla. Waswahili nao hawakubaki nyuma walipodai "kizuri...
0 Reactions
2 Replies
643 Views
Miaka ya hivi karibuni ilionekana kuna tatizo katika suala la kuchaji simu zetu. Kwamba inachukua muda mrefu sana kwa simu kuchajiwa hivyo muda mwingi unapotea katika kusubiri simu ijae. Sijajua...
5 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu wana Jf, Nimenunua Kitochi 4G ya Vodacom sasa ninahitaji huduma ya ku unlock hiki kitochi ili line namba 1 ikubari mitandao yote Asante Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, naomba kujuzwa google Adsense alternatives kwa ajili ya Blog yangu (ina .com extension), pia ina 1500 page viewers/ day.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ndio naanza kabisa kujifunza coding au mambo ya programming. Wakati nataka kujipinda nianzie html jamaa yangu ameniambia nisihangaike nayo kuna language nyingine imetoka inaitwa Flutter...
0 Reactions
4 Replies
808 Views
Wakuu nahitaji msaada wa kupata IMEI no za model za vifaa/simu zifuatazo kama nilivyoambatanisha kwenye picha hapo. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wakuu, Kama kichwa kinavyoeleza naomba msaada kwa yeyote anayeijua App ya kuvuta sauti kwa mfano upo kwenye mkutano mwishoni na hakuna spika yaani mkutano hawatumii redio, so we ukifungua...
0 Reactions
4 Replies
982 Views
Back
Top Bottom