Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu poleni kwa majukumubya kuijenga Nchi yetu changa,naomba kujuzwa aina gani ya Apps nzuri ya kuchunguza kinachoendelea katika simu ya kijana wangu,mahitaji yake ya Chuo siku hizi yameongezeka...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
WADAU MSAADA TAFADHALI ni app gani nzuri ya kung'arisha picha ambayo imechafuka/imepigwa na simu ambayo camera yake haitoi photo vizuri?
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Habari Nimeshusha mzgo wa fifa 19 muda si mrefu, nime~install na kuwza kuifungua the game but it tells me directx error...nmejrb kudownload directx 11 bila mafanikio Mwenye ujuzi wa haya mambo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nina PC ni dell mini (Intel) haina Bluetooth sasa napata shida sana kutranfer vitu kwa USB nipeni mbinu ya kuweka Bluetooth kwenye pc
0 Reactions
20 Replies
4K Views
NIMEONA WATU WAKIANGAIKA JINSI YA KUTOA FRP KWA TECNO N2 ANDRID 6.0 SASA SOLUTION NI HILI NIMEWALETEA FILE DOGO TU AMBALO LIKO CUSROMIZED LINAWEZA KUTOA FRP KWA SIMU YA TECNO N2 BILA KUPOTEZA DATA...
1 Reactions
42 Replies
13K Views
Habari wadau, naomba kujua nifanyaje ili niweze ku-trace location ya namba ya simu iliyonipigia au ninayoipigia. Natakiwa kufanyaje au niwe na nini ili kufahamu mtu huyo yupo wapi. Nisaidieni...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
WanaJF habarini! Mara nyingi niwapo Vijijini (sehemu ambazo network ni dhaifu) napendelea kutumia simu ndogo (ya batani/java phone) maana smartphone huwa slow kupita kiasi tofauti na simu ndogo...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari zenu. Naomben msaada leo asubuhi nilivyoiwasha ikawaka ila haikutoa mwanga kwenye screen feni pia halizunguki...
0 Reactions
11 Replies
9K Views
Nimepita mtandao wa Android Police ambao wameichagua Pixel 3A kuwa ndio simu bora kwa mwaka 2019. Sasa nikiangalia bei yake si ya kitoto halafu sioni kama ina watumiaji wengi Tanzania. Sasa kwa...
2 Reactions
26 Replies
8K Views
Habari za mchana wadau Juzi hapa nilileta habari kuna jamaa kaniuzia laptop accer sasa hii laptop nimekuja kugundua USB port zake supported ni 3.0. naombeni msaada wa tofauti kati ya 2.0 na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hii ni Simu ya Samsung Galaxy A50, ambayo ni miongoni mwa simu za bei nafuu kutoka Samsung. Kwenye hiii video naelezea experience yangu ya kutumia hiii simu kwa miezi 7 ili na wewe uelewe kama...
2 Reactions
0 Replies
4K Views
Je,naweza kui-root simu yangu Sony ambayo ni 3G iwe 4G?? Au iwe na mifumo ya simu nyingine ambazo ni 3G?? Kwa hapa dar es salaam,niende wapi ili nifanikishiwe ili jambo?..niandae shilingi...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Heri ya mwaka mpya wakuu.. Kuna fundi kamfungia bi mkubwa solar, tangu tarehe 30 December Sasa taa zinawaka ila inverter inawasha taa nyekundu na kupiga alarm. Fundi aliwaahidi kuwa jua likiwaka...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Naomba kufahamu hackers wanafanyaje kwenye port scanning na denial of service
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakuu heri ya mwaka mpya, Mwenzenu nimeanza na majanga kidogo. Baada ya kuomba ushauri wa ku activate Window kwa kutumia KMS Ilishindikana na nikaachana na hiyo issue, so sikuitumia kwa muda kama...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wakuu habarini, TV yangu aina ya TCL Smart TV imepigwa shoti haiwaki fundi kasema card ya Tv imeungua. Sijui naweza pata card ya TV kwa bei gani na maeneo gani kwa Dar es Salaam?
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Naomba kwa anayefahamu performance ya "Realme x2 Pro" ikoje, ambaye ameshaitia mikononi au ambaye ana experience na simu za "Realme" aseme neno. Na price range kwa bongo ikoje. Nimeona ina specs...
0 Reactions
4 Replies
993 Views
na bei yake dukani ni Tsh ngapi???
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nahitaji kujua kuhusu ps3 yangu nikitaka kuwasha inawaka taa ya kijani papu afu inazima sijui ina shida gani?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana jukwaa naomba msaada kwa fundi anaeweza nirekebishia camera ya simu aina ya Google pixel maana kupata spares imekua ngumu kidogo kwangu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom