Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Ningependa kuwauliza wanaohusika kwamba je, kuna app ya jamii Forums kwa ajili ya simu zinazotumia windows 8 OS? Kama bado, kuna mpango wa kutengeneza? Nawatakia siku njema!
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Wadau tablet ya techo H8 mwanzon nilivo Nunua ilikuwa inakua full kwa muda hata wa masaa 2 na nusu ila siku hizi iwe full unachukua zaidi hata ya masaa 13 . apps nimeweka nyinginyingi games pia...
1 Reactions
18 Replies
6K Views
Hivi karibuni, makampuni makubwa, Facebook, Google na mengine kama sikosei yalishtakiwa kwa ku monopolize masoko.Yaani, kuwa na Apps nyingi zaidi ili kuweza kuliteka soko wao tu peke yao kwenye...
4 Reactions
29 Replies
3K Views
Habari wakuu! Nahitaji kupata FTA channels. Interest yangu ni news, documentaries, music na local channels. Ipi ni receiver bora kwa matumizi haya kwa sasa? Wapi naweza kupata?
3 Reactions
18 Replies
4K Views
Habari wanajamii, Ninaomba kufahamu hii Android security patch inasaidia nini kwenye simu sababu kwenye simu yangu huwa inakuja system update ya hiyo kitu. Shukrani.
0 Reactions
3 Replies
973 Views
Habari za kazi wakuu nategemea mko wazima wa afya na heri ya skukuu, baada ya muda mrefu kutumia PC zenye slot ya SIM CARD bila kuwa na WWAN adapter juzi nilifanikiwa kupata new pc yenye iyo port...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wadau vp,? Nashindwa kudownload videos kutoka youtube kwa kutumia tubemate, vidmate naambiwa app hzo hazijawa verfied na youtube Nifanyeje au nitumia app gani kuzipata video za youtube? Maana...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
PayPal is the most loved way to buy items worldwide using online shops like EBay, Amazon and others. In fact its the number one used service which helps to shop online quickly and securely. Why...
16 Reactions
98 Replies
71K Views
Heshima kwenu wakuu. Mada inajieleza. Kumekuwa na mgongano wa kimawazo kuhusu Nani mkali wa kufunga mziki kwenye gari jijini Dar? Wanasema Dicksound ndo baba lao. Wengine wanasema kuna wakali...
5 Reactions
107 Replies
14K Views
Wajuzi wa mambo ebu nijuzeni, Jana na hata leo nikiplay kitu kwa VLC player kwenye computer yangu nao kile kilogo cha vcl kimevalishwa kofia ya father Christmas, sasa hii inawezekanaje wakati...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Nina receiver mediacom imeandikwa DiSEqC 1.2 MPEG2 DVB digital satellite receiver na ungo mdogo wa startimes. Ninaweza kupata channel zozote hapo hasa za nyumbani Tanzania?
0 Reactions
1 Replies
846 Views
Moja kati ya matatizo ya zama hizi kwa watumiaji wa simu ni uwezo wa simu zao kukaa na chaji. simu zinakaa na chaji kwa muda mchache kiasi kwamba inabidi wajinyime matumizi waache kufanya vitu...
45 Reactions
145 Replies
52K Views
Wadau naomba nijuzwe hii kadi ya MasterCard iliyozinduliwa jana inapatikana vipi na kwa masharti na vigezo vipi? Na pia inaweza kuunganishwa na paypay au skrill? msaada tafadhari bandugu
1 Reactions
38 Replies
9K Views
Watalaamu naomba msaada juu ya hili. Simu yangu aina ya Samsung J5 nikitumia inapata moto sana. Nini tatizo? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa mdau anayeijua app ya kuwezesha kuvuta/kunasa sauti iliopo mbali hatua kadha anisaidie tafadhali. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Msaada jinsi ya kuondoa white dot kwenye tecno wx3. Nimejaribu njia kadhaa sijafanikiwa. Mfano njia ya kuingia setting >apps>assistive touch ila sijafanikiwa , pia njia ya kuingia developer...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
baada ya kuona watu wapo aware now na masuala ya internet naandika hii post kuwasaidia watumiaji wa simu kuweza kupata kile anachokipata mtu wa pc MASUALA YA MOVIES Kwa wale wenye bundle za...
10 Reactions
56 Replies
9K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
4 Reactions
32 Replies
4K Views
Hello bosses... Kwenye kupitia pitia makala mbalimbali mtandaoni na pia humu nimeona watu wanaipondea sana php kwa sababu zisizo za msingi. Hivyo naona na mimi niseme machache kuhusu hilo...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Back
Top Bottom