Habari wakubwa..naomba kuuliza je ni vitu gani hupelekea fingerprint za iphone especially matoleo ya 6,6s,7,7plus n.k kufeli?
wakati hilo halitokei au ni nadra kwa simu za android..
Naomba...
Wakuu kuna tatizo moja lipo hivi, ipo namba ya simu ambayo mara nyingi huwa nawasiliana nayo hasa katika mtandao wa WhatsApp na mpaka aanze yeye, au ananibip muda huo nikitaka kumpigia inasema...
Wale wanaotaka kujifunza coding ingia huku ujiunge bureee kabisaa
Utajifunza kila kitu kuhusu computer, coding
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu wana JamiiForums nimeandika kitabu changu kidogo cha kama page 100 hivi, kutokana na kuwa na budget ndogo kama laki 7 hivi kuna mtu kanishauri kununua printer, paper cutter na stepla ili...
Wadau nikiri nilinunua laptop mwaka 2010. Mara ya kwanza nikatumia ikafa betri. Nikanunua nyingine HP imekaa miaka kadhaa ikapunguza kukaa na chaji kabisa.
Swali ni je ipi sahihi kuchaji laptop...
Wakuu, habari!
Nina simu tajwa hapo juu, ambayo nimenunua kama mwezi hivi umepita.
Shida kuu ni ku stuck/freeze mara kwa mara, zaidi sana nikiwa naandika sms.. na wakati mwingine kioo kinakuwa...
Kwa mujibu wa utafiti uliotolewa na serikali ya Marekani kupitia taasisi yake ya viwango na teknolojia, NIST, mifumo ya utambuzi wa sura (facial recognition) inaweza kutoa matokeo yasiyo sahihi...
Habari zenu wakuu,
Hivo nahitaji kujua kuhusu kipato cha mtandao huu mpya wa Taxify, hivo njia gaani wanayoitumia hii kampuni kupata mshiko wao maana nimefanya survey ya boda boda wengi maelezo...
Bila shaka mu buheri wa afya. Kinyume na hapo ni mwili tu kupitia katika changamoto fulani fulani ili kujiimarisha.
Simu yangu ina muda sasa, Play Store haitaki kudownload App yoyote. Yaani...
BADO MWEZI 1 TU! KUFIKIA MWISHO WA MAISHA YA WINDOWS 7
Tarehe 14 January ndio siku rasmi kampuni ya Microsoft kuacha kuitunza Windows 7, hivyo watumiaji wake hawatapata msaada wowote tena...
Nenda ktk mada husika hivi nimekuja kwako kutafuta spare kama fundi or mteja nikakuambia niana shida na kitu or spare flani ukaniambia unayo nakuuliza mzima unaniambia ndio nakulipa kama...
Hey mabahria wenzangu hivi karibun nilipata Vicente nikaona si mbaya kama nitanunua haka kamcuine ili niwe nafanya usafi mara kwa mara ila Toka nimekabunua mpaka leo sijakatumia hata mara moja...
Apple, Google, Tesla na Microsoft ni baadhi ya makampuni yaliyotajwa katika kesi ya madai ya fidia ya vifo na majeraha ya wachimbaji watoto wa migodi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo,DRC...
Nime root sim yangu TECNO Y3+ nikafuta system app nimefta dialer sasa nikadownlod nyingine nikimpigia mtu inaita ila haileti sehem ya kukata yan kiufupi haionyeshi kama ipo inaita msaada tafazal...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.