Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu natumah mpo njema ile kinjema E bhna jamaa zangu nina shida sana na game la FIFA kwajili y kulicheza kwny pc mwenye set up zake naomba naomba anifanyie busara jmn Mwenye nalo la mwaka...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana jamvi, nmeroot simu yangu ya tecno y3. Android ya simu ni 4.4.2 . Sasa nataka kuiupgrade kwenda 5.0+ nisaidieni wakuu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wajuvi, Natumia sony xperial Z2 yenye android marshmallow nashidwa kabisa kuielewa (kuifurahia) android marshmallow maana nikijaribu kuroot kwa kingroot au kingoroot inakataa na mimi bila...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hivi ni kweli kwamba katika smartphone camera iphone ndo yuko vizur? Maana nahitaji ninue kati ya iphone 5s au galaxy note 4 naombeni mawazo yenu...
4 Reactions
292 Replies
38K Views
Habari za muda huu wadau! Nawasalimu, kama kichwa cha habari kilivyoeleza nakaribia kumaliza chuo hivyo natamani nifungue ofisi ya kufanya maintenance na graphics. Kwenye comp maintenance...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wadau, Kama kuna ambae amekumbwa na tatizo kama langu nahitaji kujua amelitatuaje. Natumia yo WhatsApp lakini toka jana nikaambiwa niupdate new version, ile kuupdate new version nakuta...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa wale wenzangu wa ku design kwenye Adobe. Pale unapoingia katika Mini Bridge ukichagua picha inagoma pia inaleta maneno kama hivi. Pia ukihamishia picha kwenye Sim ukitafuta kwenye Sim...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Waungwana nina tatizo na simu yangu aina Samsung S9+ Hii simu kila zikibaki MB kuanzia 200 basi inapoteza intenet access. Lets say umeweka kifurushi (data bundle) basi nikishapokea ile taarifa ya...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Kama kichwa kinavyojielewa wanajukwaa nina blog yangu naiendesha kupitia simu sasa inakuwa ngumu baadhi ya vitu kuviset hivyo nahitaji laptop. Je niandae bei gani na laptop iwe na space zipi ili...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
kwa watuiaji wa cm za ideos/smartphone phone book yako yote hata kama una cm tano unaweza sync(hawilisha kiswhili chake sijui ndiyo hicho) zitasomeka kwenye mail yako na kwenye cm.kwenye cm...
3 Reactions
1 Replies
8K Views
Wakuu habari Naomba msaada, jinsi naweza kudownload free mp3 audio files kwa app au namna nyingine nikitumia simu yangu Asante Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
18 Replies
5K Views
Kwa wale wataalamu wa software, nahitaji software niliyoitaja hapo juu. Aliyenayo tujulishane
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wadau kwa mwenye kujua mashine/printers zinazoprint pvc cards/plastic cards kama vile ATM CARDS, VITAMBULISHO AU BUSINESSCARDS, kwa maana ya zinakowezapatikana nchini Tanzania na pia bei zake...
0 Reactions
24 Replies
13K Views
Wazee wa magame Naombeni product Key ya Euro Truck 2 VERSION 1.35.1.31 niactivate game hapa.
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Kampuni ya vifaa vya kielektroniki ya Samsung imekuwa kinara katika soko jipya la 'Smartphones' zenye uwezo wa 5G ikiweza kuzalisha simu za 5G takribani robo tatu ya uzalishaji wote ulimwenguni...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Wakuu, nategemea mu wazima wa afya na mnaendelea na majukumu kama kawaida. Wakuu simu yangu nilibadili password kwa bahati mbaya nilisahau password mpya niliyoiweka. Nimeshidwa kuifungua...
2 Reactions
71 Replies
19K Views
Habari Wakuu, Natafuta mashine ya simu aina ya LG Nexus 5X, Iwe nzima au nauza kioo full cha hiyo simu pamoja na betri yake. Nitashukuru iwapo nitapata. Mawasilaiano yangu ni kwa namba 0717540261.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu. Naomba msaada wa app ambayo inaweza ku-sign PDF kwa kutumia simu wakuu. Nilikuwa natumia Adobe Auto Fill ila tatizo sijaona option ya kubadilika rangi iwe ya blue ionekane...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hello Tech. guys. Nimetengeneza hii M-Pesa Mastercard lakini imekataa kwenye playstore, aliexpress na paypal. Yoyote ambae ameshwahi kutumia huduma hii kwa mafanikio anieleweshe. Mana hizo...
2 Reactions
32 Replies
11K Views
Kwa watakaonielewa, huwa nina utaratibu nasave mapato na matumizi ya kila siku kwenye Hiyo App hapo juu ila huwa natumia simu. Sasa nahitaji kuhamisha huo utaratibu kwenye computer yangu. Sijui...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom